Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi yule kamanda aliemwambia Msukuma hawezi kuomba radhi, Kama ni cheo chao wachukue, Yuko wapi?na jina lake naniNimejawa na furaha kuona mtu makini ndani ya Jeshi la Polisi mwenye uzoefu na weledi anakabidhiwa majukumu makubwa ya kuliongoza Jeshi letu la Polisi. Hakika CAMILIUS WAMBURA ni mtu sahihi mno.
Shule gani mlisoma nae?Ni kaka mzuri sana pia kwa wadogo zake; tulisoma wote O-level nikiwa kama mdogo wake
UDSM miaka ya 1998-1999. O level piaShule gani mlisoma nae ?
Mshaanza kujikanyaga wenyewe. Tupe na historia ya elimu yakeNimejawa na furaha kuona mtu makini ndani ya Jeshi la Polisi mwenye uzoefu na weledi anakabidhiwa majukumu makubwa ya kuliongoza Jeshi letu la Polisi. Hakika CAMILIUS WAMBURA ni mtu sahihi mno.
Alisoma sheria au kitu gani?UDSM miaka ya 1998-1999. O level pia
Uteuzi huu unefanyika liniNimejawa na furaha kuona mtu makini ndani ya Jeshi la Polisi mwenye uzoefu na weledi anakabidhiwa majukumu makubwa ya kuliongoza Jeshi letu la Polisi. Hakika CAMILIUS WAMBURA ni mtu sahihi mno.
Wengi wetu tunaofuatilia utendaji wa Jeshi la Polisi nchini tulitegemea mabadiliko kufanywa hususani katika nafasi hii muhimu ili kupatikana mtu anayeendana na kasi na dira ya serikali ya awamu ya sita.
Baadhi ya nyadhifa na majukumu ndani ya Jeshi la Polisi yaliyowahi kufanywa na IGP CAMILIUS WAMBURA ni pamoja na;
1. Kamanda wa Polisi Mkoa Maalum wa Kipolisi - KINONDONI
2. Afisa Mwandamizi wa Jeshi la Polisi- Makao Makuu
3. Mkurugenzi wa Operesheni- Makao makuu DODOMA
4. Kamanda wa Polisi -Kanda Maalum-DAR ES SALAAM
5. Mkurugenzi wa Upelelezi wa Makosa ya Jinai (DCI).
6. Na sasa INSPEKTA JENERALI WA POLISI (IGP)
BAADHI YA SIFA ZA KIPEKEE ZA IGP WAMBURA KATIKA UTUMISHI
1. Mpenda haki na muwajibikaji
2. Msomi na mwanataaluma mbobezi ndani ya Jeshi la Polisi
3. Kamanda wa Polisi anayependa kujihusisha na mambo ya kijamii.
4. Mzalendo na mchapakazi katika majukumu mbalimbali ndani ya Jeshi la Polisi
5. Kamanda wa Polisi asiye na makuu na mwenye weledi katika nafasi anazo aminiwa.
UZOEFU KATIKA MAJUKUMU MAKUBWA
-Kamanda wa Polisi Mkoa Maalum wa Kipolisi - KINONDONI
UMARIDADI NA HISTORIA
- Mkurugenzi wa Operesheni- Makao makuu DODOMA
- Kamanda wa Polisi -Kanda Maalum-DAR ES SALAAM
- Mkurugenzi wa Upelelezi wa Makosa ya Jinai (DCI).
-Kamanda wa Polisi aliyejipambanua katika kutetea haki na kulinda katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
- Utumishi uliotukuka katika medani
- Uzalendo na uchapakazi katika majukumu mbalimbali ndani ya Jeshi la Polisi
- Ushiriki katika masula mbalimbali ya kijamii
- Mwanazuoni aliyefanya vizuri katika masomo na tafiti za kitaaluma
- Mwakilishi wa Tanzania katika mijadala ya Usalama ya Kimataifa
- Kachero mwenye uweledi katika kutekeleza Operesheni zenye maslahi kwa nchi yake.
Na wengine walipepewa hivihivi mwisho wa siku tulijionea wenyewe uhalisia ulivyoBAADHI YA SIFA ZA KIPEKEE ZA IGP WAMBURA KATIKA UTUMISHI
1. Mpenda haki na muwajibikaji
2. Msomi na mwanataaluma mbobezi ndani ya Jeshi la Polisi
3. Kamanda wa Polisi anayependa kujihusisha na mambo ya kijamii.
4. Mzalendo na mchapakazi katika majukumu mbalimbali ndani ya Jeshi la Polisi
5. Kamanda wa Polisi asiye na makuu na mwenye weledi katika nafasi anazo aminiwa.
Ni lingusitic mmoja wa ajabu tu; mmojawapo wa watu waliokuwa wanategemewa sana kwenye engklsh debates. Lingusitics wengi wanapokuwa wako jeshini huwa wanapenda kusoma sheriaAlisoma sheria au kitu gani?
Huyu hakuteuliwa ili aongoze mawe! Aliteuliwa ili aongoze binadamu.Huwa mnaanza hivihivi.