Huyu ndio Cristiano Ronaldo Dos Santos Aveiro!!!


Hahaha!...ulisema Uzi hauna mchangiaji but ulishachangia na unaendelea kuchangia, Duh!..huyo king bila [HASHTAG]#Facts[/HASHTAG].
 
Ferguson na Figo waliyasema lini hayo?
 
Nike WAMEMTENGENEZEA WEAPON MPYA [HASHTAG]#CristianoRonaldo[/HASHTAG] ATAKAYOITUMIA KWENYE MICHUANO YA FIFA COMFEDERATIONS CUP ITAKAYOFANYIKA RUSSIA KWA TIMU ZA TAIFA, MECHI ZITAANZA J'MOSI HII..."PORTUGAL Vs MEXICO".

 
Tatizo kuna Huyu sijui [HASHTAG]#Pioneer[/HASHTAG] anazungumza bila Data mwenzio [HASHTAG]#Figo[/HASHTAG] anasema akimuona Messi anacheza anapata raha kama vile anapiz akasema ni Mchezaji Bora kuwahi kutokea kuhusu [HASHTAG]#Fergie[/HASHTAG] tizama [HASHTAG]#Youtube[/HASHTAG] utajaa muonaa Mzee akisema Huku Akitetemeka.............so muwe mnakuja na Data sio Mnashabikia kwa Mihemko tu.
Finally Hakuna Asiyejua kwamba [HASHTAG]#MESSI[/HASHTAG] is the Best Player Ever Created By G
od!
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] hyo ratio ya UEFA au

Hiyo LaLiga Mkuu...mbona unajifanya hauelewi?, Ni ukweli usiopingika kuwa Cristiano kwenye swala la ufungaji ni balaa kuliko messi...kama huamini angalia hiyo list ya Wafungaji bora utaona kabisa MESSI AMEMZIDI RONALDO MISIMU MITANO PALE LALIGA LAKINI TOFAUTI YA MAGOLI KATI YAO NI 64 TU SASA KAMA RONALDO ALIWEZA KUFUNGA MABAO 46 LALIGA MSIMU WA 2014/2015...HAYO 64 ALIYOZIDIWA NA MESSI ANGEWEZA KUYAPATA NDANI YA MISIMU MMOJA NA NUSU TU NYUMA YAANI KAMA ANGEKUJA SPAIN SCINCE 2007 MESSI ANGEPOTEZWA SANAAA...WAKATI MESSI AMEMZIDI RONALDO MICHEZO 117 YA LIGI...PIA KATIKA MECHI ZOTE WALIZOCHEZEA CLUB ZAO RONALDO AMESHINDA KATIKA MECHI ZAKE ZOTE(265) ALIZOCHEZA KWA KUFUNGA MAGOLI 285 AKIWA NA MAGOLI 20 ZAIDI TOKEA AJE PALE LALIGA...HUKU MESSI AKIWA AMESHINDWA KUFUMANIA NYAVU KATIKA MECHI 33(Hii ni Sawa na Msimu mzima) AKIFUNGA MABAO 349 KWENYE MECHI 382....YANI RONALDO ANA MAGOLI MENGI KULIKO MECHI ALIZOCHEZA LALIGA WAKATI MESSI ANA MAGOLI MACHACHE KULIKO MECHI ALIZOCHEZA LALIGA PIA RONALDO ANA RATIO KUBWA YA "GOAL PER GAME YA 1.1" KULIKO WAFUNGAJI BORA WOTE KUWAI KUTOKEA LALIGA...HIVYO KILICHOMFANYA MESSI AKAE APO JUU KWENYE HII LIST NI ILE MISIMU MITANO ALIYOMZIDI RONALDO LALIGA HUKU AKIFUNGA MABAO MACHACHE 64 TU...LAKINI KAMA WANGEANZA PAMOJA PENGINE MESSI ANGELIA KWA KWELI, I WONDER WHAT COULD HAPPEN IF CR7 STARTED HIS CAREER EARLIER IN LALIGA????(Jibu unalo Mwenyewe)

 

Yani hizo Data zote Nazopost humu huzioni Mkuu???...kweli mwenye macho haambiwi [HASHTAG]#TIZAMA[/HASHTAG].

 
Ronaldo ni monster, hutaki acha!
GENTAMYCINE.

Ukweli mbona unajulikana mkuu...Mtu kafunga Goals 10 katika Mechi 4 against BEST DEFENSIVE TEAMS KAMA JUVENTUS: KAWAPIGA 2,ATLETICO: KAWAPIGA 3, NA BEST ATTACKING TEAM KAMA BAYERN: KAWAPIGA 5-Nje nani....Imagine What a Player He is??? Makipa Wazuri kama NEUR NA BUFFON Wote wamekubali kipigo Chake...Hakika CR7 SIO MTU WA MCHEZO KABISA...Yani kama O'black ndio kipa aliyefungwa Goals nyingi na Ronaldo msimu huu kuliko kipa yeyote LIGI: KAPIGWA HAT-TRICK NA UEFA: KAPIGWA HAT-TRICK NYINGINE....SIJUI ANAJISKIAJE AKIKUMBUKA ILA ILIMBIDI AMKUBALI TU JAMAA HAKUWA NA NAMNA NYINGINE.

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…