Nguvu moja
JF-Expert Member
- Oct 20, 2017
- 3,371
- 2,713
Ndege mwenye maajabu kushinda ndege wote ulimwenguni, nyumba yake anayolala...kaijenga kati kati ya shina la mti, mfano mti wa mbuyu katoboa pango, mule na ukibahatika kuona nyumba yake, anayolala utakutana na mauzauza huko, ya shanga, nywele za binadamu Nk: mpaka sisi baadhi yetu, ukiondoa bundi wanasema "ndege mchawi, huyo ndio "NDEGE FUNDI CHUMA" NB...kama yupo mwingine anaejua maajabu ya fundi chuma, aendelee kutupa taarifa zake wakuu...