Huyu ndio fundi chuma...

Huyu ndio fundi chuma...

Sijachanganya mkuu fundi chuma anatoboa mti, tobo na kutengeneza kiota chake, akichanganya na udongo, kwenye kiota chake kama nilivyoeleza, utakutana na nywele za binadamu, shanga, hadi baraghashia, na bado anawalinda watoto wake humo ndani ya kiota chake akiwa, ayupo ameenda kuwatafutia chakula, watoto wake hakuna adui atakaeingia humo mlangoni kwenye kiota anatengeneza kufuri la lililochanganywa na tope na majani ya nyasi mkuu.

Fundi chuma hatoboi mtii kaka hayo mengine yote ni sawa anaetoboa mti ni huyo ndege mdogo hapo woodpecker
 
Fundi chuma hatoboi mtii kaka hayo mengine yote ni sawa anaetoboa mti ni huyo ndege mdogo hapo woodpecker
Ulizia tu kaka kwa wajuzi, wanaomuelewa vizuri watakwambia, kuwa anatoboa mti na kufanya kuwa kiota chake kaka.
 
Mkuu hawa ndege ni wawili tofauti kabisa angalia hizo picha vizuri halafu kuhusu kabila
natumia lugha ya taifa peke yake
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Fundi chuma hatoboi mtii kaka hayo mengine yote ni sawa anaetoboa mti ni huyo ndege mdogo hapo woodpecker
Ngoja wanaomfahamu vizuri, kuliko mimi waje watudavulie vizuri kaka.
 
Ngoja wanaomfahamu vizuri, kuliko mimi waje watudavulie vizuri kaka.

33587668f391359d5ebc4c64020dfcba.jpg
 
Zamani ssaaana nimelisikia hili jina... Mleta nyuzi umenirudisha miaka mingi sana nqkumbuka huwa kama ana kichogo hivi fundi chuma
 
Back
Top Bottom