Kiparuanda
JF-Expert Member
- Jul 23, 2013
- 1,587
- 2,389
Sema akya Mungu?Anastaafu siku si nyingi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sema akya Mungu?Anastaafu siku si nyingi
Hata lizaboni nae kateuliwa awamu hiiBarbarosa umejuaje kuwa ni dada. Nasikia wakudadavua amepata uwaziri, sijui watu wanajuaje!
"Siuze" nadhani ulikuwa na maana ya kutumia neno hili. AsanteWewe dada Barbarosa, unarukwa si bure. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, kikatiba, anaweza hata kuifuta Benki Kuu ya Tanzania. Seuse kumtumbua Gavana!? Masuala usiyoyajua si vyema ukayaletea porojo.
Mwambie afiche ujinga wake, kuliko alivouanika uchi kabisa[emoji16] [emoji16]Wewe dada Barbarosa, unarukwa si bure. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, kikatiba, anaweza hata kuifuta Benki Kuu ya Tanzania. Seuze kumtumbua Gavana!? Masuala usiyoyajua si vyema ukayaletea porojo.
Hujui chochoteGavana wa Benki Kuu, huyu ndiye Kiongozi pekee unaweza hata kusema ana nguvu sawa na Raisi wa JMTZ, ingawaje anateuliwa na Raisi wa JMTZ lkn ana nguvu zisizo onekana, huko kwingine koote Raisi wa JMTZ anaweza kuteua na kupindua atakavyo ila kwa Gavana wa Benki ni breki!
Na ukitaka regime change, jaribu kugusa Gavana wa Benki KUU!
Jiulize swali moja, unafikiri Serikali ya Raisi Magufuli inapenda matumizi ya Dola kila mahali? Unafikiri wanapenda bureau de change kuzagaa kila mahali?
Unafikiri wanapenda Shilingi yetu ishuke thamani dhidi ya dola?
Unafikiri hawawezi kuzuia na kubadilisha hayo mara moja? Na ni mara ngapi wametuahidi kuondoa dola kwenye mzunguko wetu wa fedha lkn wanashindwa?
Jibu ni hapana, Gavana wa Benki Kuu anawakilisha Washington dc kimaslahi hivvyo hata akistaafu anatefwata ni lzm Washington imuidhinishe, ...
Naona umeanza kutumia dawa, taratibu tu utaponaGavana wa Benki Kuu, huyu ndiye Kiongozi pekee unaweza hata kusema ana nguvu sawa na Raisi wa JMTZ, ingawaje anateuliwa na Raisi wa JMTZ lkn ana nguvu zisizo onekana, huko kwingine koote Raisi wa JMTZ anaweza kuteua na kupindua atakavyo ila kwa Gavana wa Benki ni breki!
Na ukitaka regime change, jaribu kugusa Gavana wa Benki KUU!
Jiulize swali moja, unafikiri Serikali ya Raisi Magufuli inapenda matumizi ya Dola kila mahali? Unafikiri wanapenda bureau de change kuzagaa kila mahali?
Unafikiri wanapenda Shilingi yetu ishuke thamani dhidi ya dola?
Unafikiri hawawezi kuzuia na kubadilisha hayo mara moja? Na ni mara ngapi wametuahidi kuondoa dola kwenye mzunguko wetu wa fedha lkn wanashindwa?
Jibu ni hapana, Gavana wa Benki Kuu anawakilisha Washington dc kimaslahi hivvyo hata akistaafu anatefwata ni lzm Washington imuidhinishe, ...
Upo vizuri jombiiKwa uelewa wangu na kwa mujibu wa katiba mtu pekee ambaye raisi ni vigumu kumfukuza kazi mpaka ashauria na majaji kama sita hivi wa nchi za madola ni CAG-Mkaguzi na mdhibiti wa mahesabu ya serikali.
Soma ibara ya 143 na 144 kama sijakosea.
Nahisi ni jaji Mkuu ndo vigumu kumfukuza hadi majaji wa jumuhiya ya madola walizie,Kwa uelewa wangu na kwa mujibu wa katiba mtu pekee ambaye raisi ni vigumu kumfukuza kazi mpaka ashauria na majaji kama sita hivi wa nchi za madola ni CAG-Mkaguzi na mdhibiti wa mahesabu ya serikali.
Soma ibara ya 143 na 144 kama sijakosea.
Huyu anamzungumzia Daudi Bashite, gavana wa GSMHivi kumbe Daud Balali hakuwa Gavana?
Kwahiyo Kikwete alitenguwa uteuzi wa nani?
Hoja za kipumbavu na kilofa. Zunga Lako!,Gavana wa Benki Kuu, huyu ndiye Kiongozi pekee unaweza hata kusema ana nguvu sawa na Raisi wa JMTZ, ingawaje anateuliwa na Raisi wa JMTZ lkn ana nguvu zisizo onekana, huko kwingine koote Raisi wa JMTZ anaweza kuteua na kupindua atakavyo ila kwa Gavana wa Benki ni breki!
Na ukitaka regime change, jaribu kugusa Gavana wa Benki KUU!
Jiulize swali moja, unafikiri Serikali ya Raisi Magufuli inapenda matumizi ya Dola kila mahali? Unafikiri wanapenda bureau de change kuzagaa kila mahali?
Unafikiri wanapenda Shilingi yetu ishuke thamani dhidi ya dola?
Unafikiri hawawezi kuzuia na kubadilisha hayo mara moja? Na ni mara ngapi wametuahidi kuondoa dola kwenye mzunguko wetu wa fedha lkn wanashindwa?
Jibu ni hapana, Gavana wa Benki Kuu anawakilisha Washington dc kimaslahi hivvyo hata akistaafu anatefwata ni lzm Washington imuidhinishe, ...
Sio miko yote lakiniMhhh,inamaana huyo Gavana ana nguvu kubwa na anaogopwa kuliko mkuu wa Mkoa?ebu kuweni serious nyie..!mie nawambia mtu ambaye hawezi kuguswa na mtukufu ni "MKUU WA MKOA" tu basi.Wengine tupa kule!
Mkuu wa mkoa wa Tanga au yule Gamboshi wa Arusha.?au yule mwana mpendwa kaka yake Mange Kimambi?Mhhh,inamaana huyo Gavana ana nguvu kubwa na anaogopwa kuliko mkuu wa Mkoa?ebu kuweni serious nyie..!mie nawambia mtu ambaye hawezi kuguswa na mtukufu ni "MKUU WA MKOA" tu basi.Wengine tupa kule!
Tena mkoa wenyewe ni wa Dar tu.Mhhh,inamaana huyo Gavana ana nguvu kubwa na anaogopwa kuliko mkuu wa Mkoa?ebu kuweni serious nyie..!mie nawambia mtu ambaye hawezi kuguswa na mtukufu ni "MKUU WA MKOA" tu basi.Wengine tupa kule!
Huu uchafu wako peleka chooni utupe kwenye tundu la chooo ,,,Gavana wa Benki Kuu, huyu ndiye Kiongozi pekee unaweza hata kusema ana nguvu sawa na Raisi wa JMTZ, ingawaje anateuliwa na Raisi wa JMTZ lkn ana nguvu zisizo onekana, huko kwingine koote Raisi wa JMTZ anaweza kuteua na kupindua atakavyo ila kwa Gavana wa Benki ni breki!
Na ukitaka regime change, jaribu kugusa Gavana wa Benki KUU!
Jiulize swali moja, unafikiri Serikali ya Raisi Magufuli inapenda matumizi ya Dola kila mahali? Unafikiri wanapenda bureau de change kuzagaa kila mahali?
Unafikiri wanapenda Shilingi yetu ishuke thamani dhidi ya dola?
Unafikiri hawawezi kuzuia na kubadilisha hayo mara moja? Na ni mara ngapi wametuahidi kuondoa dola kwenye mzunguko wetu wa fedha lkn wanashindwa?
Jibu ni hapana, Gavana wa Benki Kuu anawakilisha Washington dc kimaslahi hivvyo hata akistaafu anatefwata ni lzm Washington imuidhinishe, ...