Mdomo bakuli
JF-Expert Member
- Jan 7, 2017
- 3,442
- 7,007
Ila jamaa, nimecheka sanaaBaada ya nazi kukamuliwa hubaki machicha!
Mpishi huyatupa hayo machicha jalalani
Na baada ya machicha kutupwa kuku huona wamepata bahati ya mtende!
Muacheni jamaa ajilie machicha yake kwa raha zake
[emoji3][emoji3] olevo nmemaliza 12So 2012/13/14/15 ndio ulikua olevel mkuu na smart phone umeanza kutumia magu kashaingia madarakani
Machicha yananunuliwa kwa 1M? Ngoja na mie nichange kibubu by December nitakuwa nimefikisha dau la WemaBaada ya nazi kukamuliwa hubaki machicha!
Mpishi huyatupa hayo machicha jalalani
Na baada ya machicha kutupwa kuku huona wamepata bahati ya mtende!
Muacheni jamaa ajilie machicha yake kwa raha zake
Machicha yanaweza kununuliwa hata kwa 100mMachicha yananunuliwa kwa 1M? Ngoja na mie nichange kibubu by December nitakuwa nimefikisha dau la Wema
kwanza jamaa simjui kabisa kumbe watu wanamfahamu picha tu ndio comedy toshahamna kitu hapo hilo jamaa lenyewe bonge la pimbi tena inawezekana punga huko dubai,huwa linaandikaga utumbo mpaka basi insta,juzi hapa lilipeleka mzigo poda mahali huko naona ndo huto tudola limerudi kutanua na huyo sweetpapuchi wenu.
Hahaaaa ya kweli maeeYa kweli haya?[emoji23] [emoji23]
Ataachaje kulike kwa mfano. Mambo ya msingi yamemshinda anabaki na drama za wasaniiNaona mkuu wa mkoa ka like [emoji2][emoji2][emoji2]
Huyo ndio yule mwanaume wa Dar aliyekuwa anakoroma kitandani na kumuacha mtoto kaboreka mpaka anapata muda wa kupiga selfie?
Yaani wanaume wa Dar sijui wakoje, yaani hata hii picha jamaa anaonekana anarembua yaani kazidiwa na Wema hapo kitandani. Hovyo sana wanaume wa dar.
Ni dharau sana na ni tusi kubwa sana kwa mwanaume uko kitandani na mtoto eti mtoto ana nguvu ya kunyanyua camera na kupiga selfie. Piga shoo mtoto asiwe na nguvu hata ya kunyanyua kwapa.
Afadhali angekubali kuwa mke wa pili wa msukuma zile enzi za kampeni 2015
Mbona mlimlipia kodi ya nyumba ya mwaka?acha dharau wasukuma sisi ndo tunapenda used.
Ni macho yangu au wamefanana,kuna clip ya jamaa na dem wake wamerekodiana jamaa anaomba 0717 dem anamaindi,Huko ig katuonesha kuwa kashapata mme wake mtarajiwa..namwombea heri kwa hilo na Mungu amfanyie wepesi afikishe kile anachokutegemea..ni wema na pck now ni new couple in town.
Kwa wale mlokuwa mnangojea wema nafasi ishajazwa na soon..
Mbona mlimlipia kodi ya nyumba ya mwaka?