Huyu ndio mume ajae wa Wema sepetu

Huyu ndio mume ajae wa Wema sepetu

[emoji288]
images%20(1).jpeg
 
Kipind nipo olevo kuna mwalim wa geography mchikichin alkua anampa sifa wema kuwa "ni demu ya watanzania,shemeji ya watanzania" nilivyopata smatifoni ndo nikaelewa alkua anamaanisha nini.
Duh
 
Dah!! huyu si pck ama?!😂😂..kafkaje huku
 
Baada ya Kusherekea Siku yake ya Kuzaliwa kwa Kutimiza Miaka 30 Kwenye SIku ambayo alizindua Movie yake Mpya ya DAD aliyofanya na Msanii Kutokea Nchini Ghana iam_vanvicker , Miss Tanzania 2006 Mrembo wemasepetu ameamua kuweka wazi kuwa Ataingia Kwenye Ndoa Hivi Karibuni Kupitia Page yake ya Instagram yenye Followers zaidi ya Milioni 4, Wema ameweka Picha akiwa na Mwanaume ambae amemuandikia Caption kuwa MUME WAKE MTARAJIWA Huku wakiwa Katika Pozi la Pamoja Kwenye Picha waliyopiga.View attachment 901189
Who cares?
 
Asipotee kusikojulikana tu huyo mume wake...yaani aolewe soon
 
Baada ya Kusherekea Siku yake ya Kuzaliwa kwa Kutimiza Miaka 30 Kwenye SIku ambayo alizindua Movie yake Mpya ya DAD aliyofanya na Msanii Kutokea Nchini Ghana iam_vanvicker , Miss Tanzania 2006 Mrembo wemasepetu ameamua kuweka wazi kuwa Ataingia Kwenye Ndoa Hivi Karibuni Kupitia Page yake ya Instagram yenye Followers zaidi ya Milioni 4, Wema ameweka Picha akiwa na Mwanaume ambae amemuandikia Caption kuwa MUME WAKE MTARAJIWA Huku wakiwa Katika Pozi la Pamoja Kwenye Picha waliyopiga.View attachment 901189
Huyo ndio yule mwanaume wa Dar aliyekuwa anakoroma kitandani na kumuacha mtoto kaboreka mpaka anapata muda wa kupiga selfie?
Yaani wanaume wa Dar sijui wakoje, yaani hata hii picha jamaa anaonekana anarembua yaani kazidiwa na Wema hapo kitandani. Hovyo sana wanaume wa dar.
Ni dharau sana na ni tusi kubwa sana kwa mwanaume uko kitandani na mtoto eti mtoto ana nguvu ya kunyanyua camera na kupiga selfie. Piga shoo mtoto asiwe na nguvu hata ya kunyanyua kwapa.
 
Back
Top Bottom