Huyu ndio Mwanadada Hurrem Sultana wa Tamthilia ya Sultan

Tunalo la kujifunza. Wenzetu wanasomea sanaa. Hapa kwetu...mmmh.
 
Hizi text zinanitia hasira[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]maana nipo mapumziko mwezi wa pili sasa , nadhani unaelewa sababu ni nini.

Next time nitakujoin.
Haaaahaaaa....tulia mama, bado kidogo tu utajiachia!

Daaah huwaga ukiwa hali hiyo ...ukisikia bata huwa inaumajee[emoji15] [emoji15] [emoji23] [emoji23]

Most welcome dear!
 
Mustafa ni mtoto halali wa sultan, kifo cha Mustafa kitatokana na fitina za Hurreim na Hurreim atapoteza watoto wawil kutonakana na kofo cha Mustafa.
Mustafa atataka kumpindua Baba yake,
Adhabu yake itakua ni kifo.
 
Mimi natamani kumjua aliyeingiza/kutia sauti ya Valide Sultana
Tafuta jina la Godliver Gordian,
Pia ndie alieigiza sauti ya Dulga Dave Patel (D.D) kwenye tamthilia ya Jamai Raja.
 
Hii Tamthilia ni Historia Ya Ottoman Empire (Dola ya kiislamu iliyotawala miaka hiyo ya Nyuma Kama ilivyokuwa Marekani kwa sasa)
 
Hurem sultana sultana kigogo jeshi la mtu mmoja nimependa namna alivyo igiza yeye na ibrahim ndio wanao ongeza mvuto wa hii tamthiliya.
 
If
Kabisa mwanamke anayejiamini wanawake wote tungekua na confidence kama yake ingependeza sana

If you are beautiful, smart, intelligent, and you have a pussy, then you can rule the world.

Hii quote niliwahi iona sehemu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…