Huyu ndio mwanaume ninayemtaka, sitaki kuumiza moyo wangu una thamani

Kama haya ni ya kweli...INAPENDEZA kwa kweli...Inatia Moyo kuona kua style hii bado wapo.

Hopeful bado wataendelea kuwepo.
 
nisamehe basi mbona hivyo dia? sio lazima kusoma uzi wangu. sorry
 
Haya Masharti yalivyo Magumu utadhani, ni ACACIA wanataka kurenew mkataba wa madini wakakutana na masharti ya kina Prof Kabudi na Ossoro
nyamaza tulia nenda kwa mangi kale pipi nitalipa
 
Aiseee Leo akina Daby wamepatikana.Sipati picha wanaume walivyopanic.Dada yupo makini .Kaweka wazi msimchokoze.Kila raheli mdada
 
Nimepiga picha ni mdada aliyeandika hapa??? Dada umetisha sana.Sijawai ona .Nyeupe nyeupe.Nyeusi nyeusi.Safiiiii
 
Wee dada wewe.
Ukweli wanaume tuna kiu ya wanawake sampuli yako sasa tulishachitiwa huku na kule tumezaa watoto kwenye mafungu hadi hatuna hamu ya wanawake tena kivile bora liende.
Nina imani hukatizi mwaka bila mme ila kila mtu angetamani kupata hiyo neema maana wanaume wote duniani tuna kiu ya wanawake wa kutupatia utawala. Hatuna shida ya hela sijui nini ila mwanamke wa kutambua uanaume wangu tu.
Kila la kheri vigezo juu yako sina kucha zenyewe ninazo mbili za dole gumba nyingine ukikata mwezi huu hadi ipite miwili.
Watoto ndo basi hapo tusiongelee. Elimu yenyewe ninayo ya MEMKWA sasa hapo shidaa.
 
Aseeh nikama Nimependa Tangazo lako ila badilisha r hizo maana mke tupo chumbani unaniambia baby I rove you nitakimbia.

Kila la kheri kigezo cha kucha kimenikosesha mke na cha r.
Hahahahahha nilifikiri umewahi fursa. Mm nilivyofika kwenye kucha mbavu nimeshikilia
 
s
Kama una sifa zoot hizi,y umekosa mume dada angu?..au ndo kajitu kafup kifutu shapeless,...rang ya ajabu..sabab kwa sifa zote hzo usingetafta mtu mtandaon dada angu..we una kasoro flan lazma ambayo we mwenyew unaijua.
sijakosa mme wenda kazi ninayoifanya ndo inanikutanisha na waume xa watu na staki mme wa mtu. kilamtu ana story yake ya maisha, unawezamkabidhi mtu moyo wako kwa mda mrefu shetani akaingilia.just understand that the world is not fair. byee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…