Huyu ndio mwanaume ninayemtaka, sitaki kuumiza moyo wangu una thamani

Huyu ndio mwanaume ninayemtaka, sitaki kuumiza moyo wangu una thamani

Aseeh nikama Nimependa Tangazo lako ila badilisha r hizo maana mke tupo chumbani unaniambia baby I rove you nitakimbia.

Kila la kheri kigezo cha kucha kimenikosesha mke na cha r.
Khah! Mimi vigezo vyote vipo, ila cha umri kimenipita, maana ni under 34.
 
Chonga wako madaam, you as a woman, you are not a shot caller. Wewe subiri kuchaguliwa sio kuchagua la sivyo utapata mtu tofauti kabisa. Usijivalishe uanaume, utasa meno kusubiri. Kuwa mwanamke, kama ni wife material, atakuja mtu ila wewe kufuata mwanaume utaishia kuumizwa. mark my words.
dear nakusoma vizuri thanks nina sababu naomba usome sentensi yangu ya kwanza.
 
Inna Morata.... Jina lenyewe unaonekana mbishi sana wewe Mwanamke.. Toka lini Mwanamke anajijua kuwa ni msafi kupitiliza halafu black current???? halafu eti yeye mvumilivu ungekuwa mvumilivu ungefikisha miaka 30 hujaolewa? Nenda hukoooo
 
Back
Top Bottom