Huyu ndio mwanaume ninayemtaka, sitaki kuumiza moyo wangu una thamani

Kila la heri. Natamani ningekuwa na kaka mkubwa.............
 
Ukipapata panaweza geuzwa machimbo ya wanaume walio na sifa nyiiiiingi mnoo[emoji23] [emoji23] [emoji23]


Watz ni pasua kichwa asee
Anakwambia ye ni msafi kuzid na anajua kupenda, anacare, anajtegemea na hajawah kusalit zote sifa nzur ni zake hzo zote ni urimbo, cha kujiuliza je kabla ya umri alionao na hizo sifa zake ina maana huko nyuma hakuonwa na mwanaime mpaka sahiv hajaolewa!! Kuna dalili kubwa ya mtu kuoa mke LUKAKU
 
Yaani hili tangazo ni zaidi ya tangazo.la kazi utafikiri unajaza ajira portal ile ya government daah AM FUCKEN TELLING YO THE HOLY TRUTH you r never gonna find this kind of man TRUST ME...kuna vitu atamis tuuu ushauri wangu ni kwamba jifunze kukubali mapungufu ya unaempenda hivooo tuuu...maisha ya mapenzi uta enjoy..ila mambo kama mcha Mungu ni vitu vigumu sanaaa kivijua kwa mtu binafsi usije ukaweka vigezo ambavyo ni too inperson...pole sanaa.MIMI NNA VIGEZO ALMOST VYOTE NA NIKO SINGLE ILA SIJI INBOX YAKO WALA SIKUTAKI CUZ SIPENDI VIGEZO VYAKO.
 
NENDA MKOANI CHIKUNGUNYA NDO UTAWAPATA WENGI TU ILA KWA HAPA MZIZIMA!SIDHANI!
 
asante umeshakula baba? wewe lala tu hakuna namna
 
Nimejaribu kufuatilia masharti ya kupata kazi usalama wa Taifa, UN, Jeshi la Israel na Korea kusin na shirika la NASA hakuna masharti magumu hvyo, huyu kiumbe atakua na kiwango cha Messi kwenye mapenzi yaan sio wa Sayari hii.
 
Umesema upstairs upo vizuri hujui hata matumizi ya nomino unasema mungu=x.... Mungu. Upstairs ni Zeo mpaka downstairs. Ulete mrejesho ukifanikiwa mkuu.
Kila la kheri
 
Nimejaribu kufuatilia masharti ya kupata kazi usalama wa Taifa, UN, Jeshi la Israel na Korea kusin na shirika la NASA hakuna masharti magumu hvyo, huyu kiumbe atakua na kiwango cha Messi kwenye mapenzi yaan sio wa Sayari hii.
wacha maneno koj.....a ulale dia
 
pole dia hasira za nini? timu yako imefungwa? haya lala upoze machungu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…