Upuuzi tu anatafuta wachangiajiHahahaaa umeonaee yaan amejikuta ni malaika sijui
Miss you too baby[emoji23] [emoji23] [emoji23] mic u
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Labda anataka akamtoe kafara huyo mume. Si unajua waganga wanakuaga na masharti ya ajabu ajabu.
Hahahahahahahhh...........cku yakiwakuta ntautafuta huu Uzi kwa faida yenuKwanza wanaume wa kihaya hawaokotagi uozo km Huu
[emoji276] [emoji276]Hahahahahahahhh...........cku yakiwakuta ntautafuta huu Uzi kwa faida yenu
Ndio, kaburi lazima lipaliliwe kwanza afu tunalitia jembe na koleo[emoji276] [emoji276]
Ila sasa sifa zake siyo priorities kwa wanaume, sifa pendwa hajazitajaNimelipenda hili tangazo, sijui kwanini ila nimelipenda mno.
WANAUME kazi kwenu.
Hahahahha daaaaah!i rove u DabyAseeh nikama Nimependa Tangazo lako ila badilisha r hizo maana mke tupo chumbani unaniambia baby I rove you nitakimbia.
Kila la kheri kigezo cha kucha kimenikosesha mke na cha r.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mama hujaeleza hadi mwisho, mkia unao?
Kabla sijafikiria kwenda pm nijue kabisa unavuta trela au ni kama vits nyuma imekatwa?
Kucha zote unazo??Ameshasema awe 34+. Dah! Masharti kama tunaomba kujiunga Navy SEALS. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kisandu yupo lock up Leo umeona habari azam TV?? Ahaaa kumbe yule ndo kisandu? Dah sijui kwa nn anajitangaza kwa majina yake kamili?Mcheki Kisandu Dada
Zipi hizo?Ila sasa sifa zake siyo priorities kwa wanaume, sifa pendwa hajazitaja
Balaa sanaAiseeee.
Hizo nguvu angezitumia kutafuta pesa angekua Folorunsho mwingine Africa.Balaa sana