[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Mkuu kama hauna sifa ni hauna tu. Usimalizie stress zako kwangu.Una roho mbaya sana, baada ya kuona michepuko yako yote haifikii vigezo hata nusu ndo unajifanya kulipenda tangazo.
Hili tangazo nalifananisha na kama nafasi za ukomando zingekuwa zinatangazwa.
Khah! Mimi vigezo vyote vipo, ila cha umri kimenipita, maana ni under 34.Aseeh nikama Nimependa Tangazo lako ila badilisha r hizo maana mke tupo chumbani unaniambia baby I rove you nitakimbia.
Kila la kheri kigezo cha kucha kimenikosesha mke na cha r.
Msome tena kigezo cha kwanza kabisa huyu kaamua kunibagua tu.Kwahiyo umekosa sifa kabisa jamani!! Huyu ndio wifi ninaemtaka sasa, sio vile vitu vya ajabu ulivyokazana navyo.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Hebu muite fasta maana akimkosa huyu haitokaa itokee tena.hii harusi sitaki kukosa
Mtaelewana tu nenda.Khah! Mimi vigezo vyote vipo, ila cha umri kimenipita, maana ni under 34.
dear nakusoma vizuri thanks nina sababu naomba usome sentensi yangu ya kwanza.Chonga wako madaam, you as a woman, you are not a shot caller. Wewe subiri kuchaguliwa sio kuchagua la sivyo utapata mtu tofauti kabisa. Usijivalishe uanaume, utasa meno kusubiri. Kuwa mwanamke, kama ni wife material, atakuja mtu ila wewe kufuata mwanaume utaishia kuumizwa. mark my words.
Huna vigezo dogoKhah! Mimi vigezo vyote vipo, ila cha umri kimenipita, maana ni under 34.
Napita mbali kabisa...
Sio hatuna sifaa yeye ndohana mana hata picha hajaweka this means hajiamin[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Watu mkishajijua hamna sifa mna hasira!!!
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Mkuu kama hauna sifa ni hauna tu. Usimalizie stress zako kwangu.