Huyu ndio mwanaume ninayemtaka, sitaki kuumiza moyo wangu una thamani

Huyu ndio mwanaume ninayemtaka, sitaki kuumiza moyo wangu una thamani

Noted
Ili kumuelewa kila mmoja iwe ni kwa mawazo au kifikra unahitaji kuwa na mtazamo chanya vinginevyo utamuona kila akupaye ushauri ni mbaya japo wabaya wapo usijikite katika mitazamo yao mibaya zaidi zaidi ichukue michango na mawazo yao kama changamoto kuelekea kuitimiza nia ama azma yako hiyo... Naamini utafanya vyema kwani penye nia hapakosi njia.
 
Km ulithubutu kuandika thread yako humu ukitafuta mwanaume wa kukuoa. Kivip hautaki kuchukua namba? Hapo amekurahisishia kazi.
Kwamm huwa nashangaa sana ninapoona mwanamke anahangaika kutafuta mume wa kumuoa.
Kwa jinsi mnavyogombaniwa km mpira wa kona halafu leo unasema umekosa? Nahisi ni maigizo tu.
Huwa naona wanawake wanaoandika thread ya kutafuta wenzi huwa ni waongo, lengo lao ni kutuchora tu.
Mm nilikuwa na mwanamke tuliyependana sana lkn alikuja badilika, vituko na dharau kila siku. Chanzo cha yote kapata mwanaume huko. Ikabidi niondoke kimya kimya nisije kufa kwa pressure. Unaweza kuniambia huyo mwanamke bado hajaolewa au hana mtu huko?
Kwa jinsi ninavyoona watoto wa kiume tunavyohangaika kuwapata nyie halafu leo uniambie hauna mtu. Siyo kweli lbd km unafanya biashara
Ngoja nikuelimishe kidogo bila malipo
Hawa unaosema wanadanganya kutafuta humu si kweli wapo serious kabisa Na sio kwamba eti hawatongozwi mtaani wanatongozwa
Wanawake tupo hivi.Anayekutongoza kuna utakayemkubari Na utakayemkataa kwa vigezo vyako .
Wengi humu utakuta alikuwa Na MTU waliopendana wa hukohuko mnakosema mtaani.akamtenda au akamfumania au matatizo ya kifamilia
Option hiyo anaiacha anaona let me try Jf or other means in social media..
Na Nina ushuhuda wapo waliobahatisha wakaolewa Na Sasa miaka tena toka Jf
Usibeze usichojua.Jf Ni Sasa Na mtaani tu.Watu wa humu Ni real people
 
Ngoja nikuelimishe kidogo bila malipo
Hawa unaosema wanadanganya kutafuta humu si kweli wapo serious kabisa Na sio kwamba eti hawatongozwi mtaani wanatongozwa
Wanawake tupo hivi.Anayekutongoza kuna utakayemkubari Na utakayemkataa kwa vigezo vyako .
Wengi humu utakuta alikuwa Na MTU waliopendana wa hukohuko mnakosema mtaani.akamtenda au akamfumania au matatizo ya kifamilia
Option hiyo anaiacha anaona let me try Jf or other means in social media..
Na Nina ushuhuda wapo waliobahatisha wakaolewa Na Sasa miaka tena toka Jf
Usibeze usichojua.Jf Ni Sasa Na mtaani tu.Watu wa humu Ni real people
Watu wanaishia kutukana hawajui ni maumivu gani MTU anakutana nayo.
 
Back
Top Bottom