Inna morata
JF-Expert Member
- Jan 20, 2018
- 370
- 268
- Thread starter
-
- #1,061
Wacha Maneno wacha wogaJee hiki nilichokisoma ni ukweli? Nitaaminije sasa Kama wewe ndo yule niliekusubir kwa miaka yote vile? Jee kama ni trick nitafanyaje. Siitaji kukosea. Mungu baba nionyeshe ishara .
AhaaaMie kigezo cha usafi kimenikosesha mke ndiyo basi tena acha nisubirie mwakani majira kama haya.
Ili kumuelewa kila mmoja iwe ni kwa mawazo au kifikra unahitaji kuwa na mtazamo chanya vinginevyo utamuona kila akupaye ushauri ni mbaya japo wabaya wapo usijikite katika mitazamo yao mibaya zaidi zaidi ichukue michango na mawazo yao kama changamoto kuelekea kuitimiza nia ama azma yako hiyo... Naamini utafanya vyema kwani penye nia hapakosi njia.
Km mm mkuu ...nahisi ni kabila tuDaaah sifa moja tu ya kabila ndio imenipiga chini[emoji31] [emoji31]
Badilisha mkuu mbona watu wanabadili dini itakuwa kabila!![emoji1] [emoji1]Km mm mkuu ...nahisi ni kabila tu
Wacha Maneno ambacho sikuweza kukiweka kwenye Uzi nakisema sehemu maalumuMm nataka nijue kabila lako
Ngoja nikuelimishe kidogo bila malipoKm ulithubutu kuandika thread yako humu ukitafuta mwanaume wa kukuoa. Kivip hautaki kuchukua namba? Hapo amekurahisishia kazi.
Kwamm huwa nashangaa sana ninapoona mwanamke anahangaika kutafuta mume wa kumuoa.
Kwa jinsi mnavyogombaniwa km mpira wa kona halafu leo unasema umekosa? Nahisi ni maigizo tu.
Huwa naona wanawake wanaoandika thread ya kutafuta wenzi huwa ni waongo, lengo lao ni kutuchora tu.
Mm nilikuwa na mwanamke tuliyependana sana lkn alikuja badilika, vituko na dharau kila siku. Chanzo cha yote kapata mwanaume huko. Ikabidi niondoke kimya kimya nisije kufa kwa pressure. Unaweza kuniambia huyo mwanamke bado hajaolewa au hana mtu huko?
Kwa jinsi ninavyoona watoto wa kiume tunavyohangaika kuwapata nyie halafu leo uniambie hauna mtu. Siyo kweli lbd km unafanya biashara
Mamii bado hujapata tu kuwa Serious basiWacha Maneno ambacho sikuweza kukiweka kwenye Uzi nakisema sehemu maalumu
Ahaaa niwe serious kivip?Mamii bado hujapata tu kuwa Serious basi
Inna me nakupenda kweli, afu wee nzuri sana ujue...[emoji39] [emoji39]Ahaaa niwe serious kivip?
Watu wanaishia kutukana hawajui ni maumivu gani MTU anakutana nayo.Ngoja nikuelimishe kidogo bila malipo
Hawa unaosema wanadanganya kutafuta humu si kweli wapo serious kabisa Na sio kwamba eti hawatongozwi mtaani wanatongozwa
Wanawake tupo hivi.Anayekutongoza kuna utakayemkubari Na utakayemkataa kwa vigezo vyako .
Wengi humu utakuta alikuwa Na MTU waliopendana wa hukohuko mnakosema mtaani.akamtenda au akamfumania au matatizo ya kifamilia
Option hiyo anaiacha anaona let me try Jf or other means in social media..
Na Nina ushuhuda wapo waliobahatisha wakaolewa Na Sasa miaka tena toka Jf
Usibeze usichojua.Jf Ni Sasa Na mtaani tu.Watu wa humu Ni real people
Ni muda bado pm hawajaja angalau angalau.Usichaguee sana.Au unataka kwenye Helicopter??????. Kubali Hata wa Gutaa.Kidogo kidogo mtafikaAhaaa niwe serious kivip?
Yaani huwa nasikitika sana sana.Watu wanaishia kutukana hawajui ni maumivu gani MTU anakutana nayo.
Ahaaa watoto kwanza wakueNi muda bado pm hawajaja angalau angalau.Usichaguee sana.Au unataka kwenye Helicopter??????. Kubali Hata wa Gutaa.Kidogo kidogo mtafika
Ahaaa woga wako umaskini wako.Jee hiki nilichokisoma ni ukweli? Nitaaminije sasa Kama wewe ndo yule niliekusubir kwa miaka yote vile? Jee kama ni trick nitafanyaje. Siitaji kukosea. Mungu baba nionyeshe ishara .