Huyu ndio mwanaume ninayemtaka, sitaki kuumiza moyo wangu una thamani

Wapo weng sana weny ivyo vigezo..utapata ila ww hujasema una umri gan maana napata mashaka kidogo ...
 
Ahaaa woga wako umaskini wako.
Mimi nina kila kitu ila nataka nijue machache kutoka kwako..
1.umetokea eneo gani la Tz?
2.umri wako japo umesema mwanamke sijui hawez kuwa mkubwa kuliko mwanaume... But i need that digits
3.past history ya love affairs in brief, nilikusoma unasema hujawahi mtenda/muumiza mtu! Je, walikutenda wewe? And why so? As kwa maelezo yako inaoneka upo perfect sana

After that we can have a deal.
 
Hivi mtu utaanzaje kuuliza maswali haya hapa sebleni? Nikisema watoto wengine wananiona mbaya.anyway sorry kama nimekujibu vibaya.
 
Hivi mtu utaanzaje kuuliza maswali haya hapa sebleni? Nikisema watoto wengine wananiona mbaya.anyway sorry kama nimekujibu vibaya.
Uliweka vitu vingi wazi sana vya chumbani hivyo sikuona tabu ungeshare hapa ili na wengine wapate hayo machache but if that not the case then your welcome.
 
Kwa wale ambao tunatafuta kazi hivyo vigezo vilivyoainishwa kama vile kwenye wavuti ya utumishi.Duh!!
 
Njoo PM nikupe mbegu bora (fertile) uzae mtoto tutunze! Utakaaa sanaaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…