colin_morgan
JF-Expert Member
- Jun 8, 2015
- 2,443
- 2,912
Duh mkuu una mbwembwe sana, namuombea mme mtarajiwa azimudu hizo mbwembwe zakoWaulize wote walokuja pm kama kuna MTU amenibeba ahaaa si kwanza waninijue? Ahaaaa jiliwaze.ukitaka kudhibitisha njoo pm na I'd mpya nikunyooshe.
Nice Sunday.Duh mkuu una mbwembwe sana, namuombea mme mtarajiwa azimudu hizo mbwembwe zako
By the way, ameshajitokeza ?
Kale kipolo cha wali.mkuu maana sio kwa povu hili tho nakushukuru.Yaan wanawake wanajidai kuringa sna wakiwa 22-27 ila wakiona tayar wameanza kufanya utandu utandu kwenye papuch ndo wanakuja na matangazo kama haya
Ulifikaje mpaka unahitaj mwanaume wa 34+ km ww sio second hand
We kaa tu hivyo hivyo hadi utaota uyoga kunako k maana kwa vigezo hivyo haupati mtu
Ahaaaa huu Uzi naupenda sana nikiwa na stress lazima nichungulie.tatizo wewe utakuwa ni mfupi
Changia Uzi wewe huna cha kunitukana jamani? Umeniboa.undefined
undefined
Self contained😁Tumekuelewa, je! Tako unalo, hatuoangi nyumba bila choo