Huyu ndio mwanaume ninayemtaka, sitaki kuumiza moyo wangu una thamani

Yaan wanawake wanajidai kuringa sna wakiwa 22-27 ila wakiona tayar wameanza kufanya utandu utandu kwenye papuch ndo wanakuja na matangazo kama haya

Ulifikaje mpaka unahitaj mwanaume wa 34+ km ww sio second hand

We kaa tu hivyo hivyo hadi utaota uyoga kunako k maana kwa vigezo hivyo haupati mtu
 
Waulize wote walokuja pm kama kuna MTU amenibeba ahaaa si kwanza waninijue? Ahaaaa jiliwaze.ukitaka kudhibitisha njoo pm na I'd mpya nikunyooshe.
Duh mkuu una mbwembwe sana, namuombea mme mtarajiwa azimudu hizo mbwembwe zako

By the way, ameshajitokeza ?
 
Teheee hee ukioa huyu mwanamke au yeyote wa aina hii, POLE !!
 
Kale kipolo cha wali.mkuu maana sio kwa povu hili tho nakushukuru.
 
Uyu mwanamke inawezekana hawez kuish hata na ndugu Wala rafiki dunia imeshamtenga uyu..
 
Unazngua tuu elimu yako haijakusaidia chochote unaandka misifa ya kipuuzi tuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…