Nikiwa na stress lazima nifungue huu Uzi basi najikuta nachekaaa kama jinga hiviDah!Hilo tangazo noma sana.Mimi hizo sifa zingine ninazo isipokuwa mbili tu
1-Nina pua ndefu ila kubwa kama rungu la komredi Kipepe(I'm not bluffing)
2-Elimu sina yenye cheti.Nimeishia la sita.Namiliki cheti cha ubatizo+komunyo+kipaimara.
Je,utanipendaaa?
Huu Uzi utbali kileleni kama piere liquid fire😁huu uzi ni wakitambo san ivi ashapata mtu anaemtaka au kapunguza vigezo
Sent using Jamii Forums mobile app
Nusu bikra mkuu😂BIKRA IPO?
Unakuta mtu ni raisi ama professor na PhD zao hajui kati ya R na L, kuchapia ndio usiseme.sembuse mm?Si bora ungemtafuta kwanza mwalimu akufundishe tofauti ya R na L kabla ya kutafuta mme.
Na hapo una degree, duuh! si balaa hili.
anaitwa RAISI [emoji780] phd zenyu jomooon[emoji196] [emoji241] [emoji83]Unakuta mtu ni raisi ama professor na PhD zao hajui kati ya R na L, kuchapia ndio usiseme.sembuse mm?
Asante kupungizia.stress zako hapa.na vile huna kazi unalala kwa shemeji sebleni, pole Dogo langu.
Sasa mbona hautoi jibu?Mimi nilijieleza hadi nikaapia.Naamini umeona.Ujue nikilala nakuota weye tu?Do something, inna morata,for the well being of my healthy love!Nikiwa na stress lazima nifungue huu Uzi basi najikuta nachekaaa kama jinga hivi
Huu Uzi utabaki kileleni.
Ndio kuna kazi za mwalimu zilitoka majuzi, bila shaka uliomba, ukipata ukafundishe watoto vizuri maana kubaki Jf bila kazi Nayo ni shida. kitu kidogo tu kukosea herufi mnakosoa as if hukuona kingine cha kusema?Hahhha ndiyo Elimu yetu hiyo usishangae
Msomi mwenye degree hajui tofauti ya R na L
Nina makalio mkuu,