Huyu ndio mwanaume ninayemtaka, sitaki kuumiza moyo wangu una thamani

Huyu ndio mwanaume ninayemtaka, sitaki kuumiza moyo wangu una thamani

yaan ww unatafuta mwanaume wa "SHOW OFF" a.k.a mwanaume wa maonesho yaan unataka awe na pua ndefu afu ana degree ahahaha naona akili zako bado ni za kitoto subiri ufike miaka 30 akili ikomae kwanza(most of women they return to their sense when they are 30's) ndo utajikuta unakuja na thread humu zmeandkwa "NATAFUTA MWANAUME WA KUNIOA SHARTI AWE NA UUME BASI"

ukitaka mwenye vigezo hvyo ww simple tu UMBA WAKO mana hata ukizaa wako hawez kuwa na vigezo hvyo asee vigezo zaid ya 17 kwa mtu mtu duuuh
 
. Asiwe mwembamba. nataka zawadi za nguo nitakazokuwa nampa zimkae vizuri yaan awe na body size ya kati.(gentleman)
Miaka yote hii sikuwahi kujua kama Mimi ni gentleman kwa sababu Mimi siyo bonge wala kimbaumbau gani nipo katikati.
 
Type update ya hii ndoa mkuu maana ulimwaga vigezo mpk mm ki benten nikakosa nafasi ya kukupata
 
Mrejesho vipi??

Shemela wetu ulimpata au ndo walewale tu ambao sio gentleman ulikutana nao.
Nina kaka angu anazo hizo sifa zootee.
Ukiweza ni PM..
Niwe wifi yako
 
mimi pia ni msafi kupitiliza mweusi tiii halafu nina pua ndefu kama ya pinokio kama bado unatafuta ni PM mume ushampata
 
Sahivi ana watt Wa 3 na kila mmoja na baba yake tunashukuru mungu hakuumizwa moyo wake nahao wapita njia
Mrejesho vipi??

Shemela wetu ulimpata au ndo walewale tu ambao sio gentleman ulikutana nao.
Nina kaka angu anazo hizo sifa zootee.
Ukiweza ni PM..
Niwe wifi yako
 
Hayo maombi ya kazi mradi wake umefikia wapi sasa?


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Eti bodi ya mkopo ? Madogo wanafunzi mmeona watu wanawadharau kazaneni kusoma shule na mjue kuzisaka mkija mtaani noma sana aisee daaaah noma yani, Mtaan dharau zimekuwa nyingi sana.

Hili tangazo lako nimelielewa, nna vigezo vingi tu ila there ila me nikionaga tangazo kama hili huwa natafuta kitu itakayonimotivate niendelee kufanya kazi kwa nguvu ili nisikose kigezo cha hela na cha kujitegemea manake ndio nachokiona kikubwa kuliko vyote...THERE IS WHERE THE MOTIVATION IS...TUTAFUTE HELA KWA ENERGY ZOTE AISEE YAN NASEMA ZOOTE KABISA...UKIWA NA HELA HIVYO VIGEZO VINGINE UNAWEZA UKAVIPINDUA PINDUA UNAVYOWEZA WEWE,


HELAAAAAAAA, mae


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Hizi requirements hata kama ingekuwa ni tangazo la kazi Mbinguni sidhani kama angepatikana binadamu wakupata hiyo kazi. Labda ingekuwa internal advertisement wafanye interview malaika huko huko Mbinguni.

Ila vigezo ninavyo vyote hivyo kasoro umri sina 34 na huwa navuta ganja na kunywa pombe sometimes (sio kila siku).
 
Inna morata, Wow

Nimejikuta nnachoka kusoma tu huu uzi,

Wakuu hili ni ombi tafadhal ikitokea Kuna mmoja ka Qualify hii k2 naomba nimjue tafadhal maana Duh !!! DADA ntaomba na ww ukimpata nisaidie kumjua ili nijifunze jambo kwake!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Duuuh ... Mbona urefu tu hapo ndio umeniponza sio mbaya yupo Zesh. Ila kwanini mnatubagua sie wanaume wafupi daaah [emoji24][emoji24][emoji23][emoji23][emoji23]. Yaani kila mwanamke anayetafuta mume humu ndani anataka awe mrefu.


Happy dude [emoji67]‍[emoji538]
 
Back
Top Bottom