Huyu ndio mwanaume ninayemtaka, sitaki kuumiza moyo wangu una thamani

Najiamini kinyama wewe waacha na makelele yao.
 
Hii Offer bado ipo? Maana kigezo cha Umri kilinifanya nisitume maombi yangu lakini sasahivi nimefikisha.Au umepandisha imekua 35+.
 
kama huyo mme ulimapata, basi kumbe kuna wanaume wakamilifu kwa kweli..[emoji125][emoji125][emoji125]
 
Inatisha lakin, daaah
 
Write your reply...
halafu baada ya hili utakuja na nyingine"natafuta mume yeyote"!
hili tangazo kama vile peponi
wataingia ni wachache sana

utatutafuta tu mwenyeweee
 
Best we vigezo si unavo? Changamkia fursa hiyo
 
0713 ishatobolewa au bado? Tuanzie hapo kwanza.
 
aise kachepuke na Harmorapa
 
Nyege mbaya sana ona huyu mwenzenu anavoota mcahana kweupe nashaurii.uende pluto unaweza kupata kadri ya moyo wako
 
Neno Mungu....siku zote linaanza na Upper case......heshimu sana...usimualike katika maombo then umdhihaki katika uandishi wako.........huyo mwanaume unayemtake jitahidi umzae mwenyewe....kamtupe then muokote ujidai unamtunza yatima.......mkuze hivyo utakavyo.....mfanye bashaako....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…