AhhahahahahhaAseeh nikama Nimependa Tangazo lako ila badilisha r hizo maana mke tupo chumbani unaniambia baby I rove you nitakimbia.
Kila la kheri kigezo cha kucha kimenikosesha mke na cha r.
[emoji23]Aseeh nikama Nimependa Tangazo lako ila badilisha r hizo maana mke tupo chumbani unaniambia baby I rove you nitakimbia.
Kila la kheri kigezo cha kucha kimenikosesha mke na cha r.
Mrejesho vipi??
Shemela wetu ulimpata au ndo walewale tu ambao sio gentleman ulikutana nao.
Nina kaka angu anazo hizo sifa zootee.
Ukiweza ni PM..
Niwe wifi yako
Tatizo wanaume wafupi mna gubu.Duuuh ... Mbona urefu tu hapo ndio umeniponza sio mbaya yupo Zesh. Ila kwanini mnatubagua sie wanaume wafupi daaah [emoji24][emoji24][emoji23][emoji23][emoji23]. Yaani kila mwanamke anayetafuta mume humu ndani anataka awe mrefu.
Happy dude [emoji67][emoji538]
Vp kuhus ww [emoji23][emoji23]Mrejesho vipi??
Shemela wetu ulimpata au ndo walewale tu ambao sio gentleman ulikutana nao.
Nina kaka angu anazo hizo sifa zootee.
Ukiweza ni PM..
Niwe wifi yako