Huyu ndio mwanaume ninayemtaka, sitaki kuumiza moyo wangu una thamani

[emoji23] [emoji23] Duuuuh mung atakusaidia utapata

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Mkuu tunaomba mrejesho vipi ulipata kwa hivyo vigezo au tuyaache hayo tuendelee kupambana na Corona


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Atakuwa anamatatizo km sio ya kimaumbile basi ya akili,hawezekani mdada km ni mzuri kweli akatafuta wanaume mitandaoni.

Au inawezekana 95% ni muuzaji wa K ,maana wanawake na wanaume wazuri wote tumeoa yamebaki madungaembe yanaangaika mpk mitandaoni.
 
Nimeshangaa Sana
Nimeshangaa Sana kuhusu hivi vigezo.
Sidhani Kama kapata mapaka leo , na kulingana na maelezo yake anataka mwanaume Kama mfano wa Gara B kea muonekano.
 

Ulipata?
 
Ogopa sana mwanamke aliyelelewa na mama yake tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…