long live my love
JF-Expert Member
- Feb 23, 2014
- 1,064
- 1,012
Kipengele cha kuwa na kucha zote miguuni kimenimaliza.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii ndo silaha kubwa mnayoitegemea...Kucha je unazo?
Hali teteHahahhh.....hacha kudakia tangazo la mwenzio.....na wewe toa lako tuone vigezo gani unatoka na vyako pia...[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] lakini mbona haya matangazo yamekuwa mengi siku hizi kuliko siku zote za jf?, haiwezi pita wiki au siku bila kukutana na tangazo la kutafuta mchumba????, kwa nn??, au idadi ya wanaume ni ndogo kuliko wanawake au wanaume hawajui kutongoza au tatizo nn aswaaaaa????, miss natafuta, miss chaga, kasie, kapeace, witnessj na wengine majibu tafadhali.....
Kwa nn ?Hali tete
Kitaa hatutongozwiKwa nn ?
Hahahahhhhh.......so bora uku ambapo mtongozwaji na mtongozaji hawajuani mpaka siku ya kukutana wakiwa tayari wametongozanaKitaa hatutongozwi
Labda anataka akamtoe kafara huyo mume. Si unajua waganga wanakuaga na masharti ya ajabu ajabu.Kipengele cha kuwa na kucha zote miguuni kimenimaliza.
Mara elfu we vigezo vyote hivyo si akazae wa kwake tu[emoji57]Hahahahhhhh.......so bora uku ambapo mtongozwaji na mtongozaji hawajuani mpaka siku ya kukutana wakiwa tayari wametongozana
Hahahhhh....nawee cku yakikufika utakuwa vivyo hivyoMara elfu we vigezo vyote hivyo si akazae wa kwake tu[emoji57]
Siwezi weka masharti yote hayo km mganga wa tunguliHahahhhh....nawee cku yakikufika utakuwa vivyo hivyo
Kwanza wanaume wa kihaya hawaokotagi uozo km HuuUnakataa mhaya lakini mbona unaonekana unapenda sifa kama hao unaowakataa
Hahahahhh.....huu ujumbe uwafikie wote wanao leta matangazo yao ya kutafuta nchumba.....punguzen mashart tuu nchumba mtapataSiwezi weka masharti yote hayo km mganga wa tunguli
Hahahaaa umeonaee yaan amejikuta ni malaika sijuiKwanza wanaume wa kihaya hawaokotagi uozo km Huu
[emoji23] [emoji23] [emoji23] mic uSiwezi weka masharti yote hayo km mganga wa tunguli