Huyu ndio Rais wa wanyonge sasa siyo yule anajisifu tu wakati wanyonge wanakufa njaa au kutekwa

Huyu ndio Rais wa wanyonge sasa siyo yule anajisifu tu wakati wanyonge wanakufa njaa au kutekwa

Chikenpox

JF-Expert Member
Joined
Oct 15, 2022
Posts
784
Reaction score
1,246
Ukiangalia tangu Samia aingie madarakani ajira zimefunguka kila pahala. Sector binafsi imekuwa more strong kiasi Cha kua absorb unemployed youths in street. JPM alirundika graduates miaka mitano hamna ajira serikalini Wala sector binafsi tukawa tunasisitizwa tujiajiri kupitia umachinga so PhD, masters Wala degree wote wawe machinga.

Kwa sasa kila Kona matangazo ya ajira yamekuwa mengi. Ukienda banking sector kila siku Mara absa, kcb l, nmb nk ajira bwerer. Ukija huku kwenye ualimu mashule yanatoa matangazo ya ajira kwa kuehindana bapo kipindi Cha jpm ukienda kuapply shule yoyote unaambiwa hata waliopo nusu wanapunguzwa.

Viva mama rais wa wanyonge
 
Kujiita Rais wa Wanyonge ni kama Slogan ya huyo kiongozi sio ishu kila kitu kiko wazi hauhitaji nguvu kubwa kuaminisha mtu. Mama anaweza kuja na yake pia Rais Anayeupiga Mwingi.

Rakini alikuwepo Rais wa Mioyoni mwa Watanzania.
 
Rais wa wanyonge ambaye hawapi watu wake umeme,maji na rais wa wanyonge ambaye anaongea ameshindwa kudhibiti mfumuko wa bei,pia ameruhusu ufisadi Rais wa wanyonge huyo.
Ajira Kwanza Mambo mengine ni mtambuka tu. Umeme una faida gani wakati wahitimu wa vyuo walikuwa wanarandalanda tu na kuvuta shisha. Huoni Kama ni faida kwao wanamka wanaenda kazini kiasi ambacho wanaweza na wao kuoa na kuwa na familia tofauti na walivyotelekezwa na shetani yule
 
Kujiita Rais wa Wanyonge ni kama Slogan ya huyo kiongozi sio ishu kila kitu kiko wazi hauhitaji nguvu kubwa kuaminisha mtu. Mama anaweza kuja na yake pia Rais Anayeupiga Mwingi.

Rakini alikuwepo Rais wa Mioyoni mwa Watanzania.
Yupi. Yule aliyepiga marufuku ajia zote na kipaumbele kikawa umachinga au
 
Ajira Kwanza Mambo mengine ni mtambuka tu. Umeme una faida gani wakati wahitimu wa vyuo walikuwa wanarandalanda tu na kuvuta shisha. Huoni Kama ni faida kwao wanamka wanaenda kazini kiasi ambacho wanaweza na wao kuoa na kuwa na familia tofauti na walivyotelekezwa na shetani yule
Hivi unaakili kweli kusema umeme unafaida Gani?alafu bado ajira ni kidogo sana.serikali haiwezi kutoa Ajira nyingi bado tatizo la ajira ni kubwa Sana.alafu naona unachuki na magufuli au Una vyeti feki?
 
Hivi unaakili kweli kusema umeme unafaida Gani?alafu bado ajira ni kidogo sana.serikali haiwezi kutoa Ajira nyingi bado tatizo la ajira ni kubwa Sana.alafu naona unachuki na magufuli au Una vyeti feki?
Fanya survey uangalie Nani sasa hivi anazunguka na vyeti Kama zamani. Umeme uliwafaidisha ambao mlikuwa na ajira tayari. Ila kwa ambaye hakuwa na ajiri hakuna umuhimu wa umeme. Kwa sasa anaweza kuona umuhimu wa umeme Mana hata tv anaweza nunu through ajira yake. What comes first is employment permanently siyo umachinga wa jpm
 
Fanya survey uangalie Nani sasa hivi anazunguka na vyeti Kama zamani. Umeme uliwafaidisha ambao mlikuwa na ajira tayari. Ila kwa ambaye hakuwa na ajiri hakuna umuhimu wa umeme. Kwa sasa anaweza kuona umuhimu wa umeme Mana hata tv anaweza nunu through ajira yake. What comes first is employment permanently siyo umachinga wa jpm
Unaelimu Gani na wasiwasi na elimu yako?ajira utaombaje bila Simu yenye chaji?utaonaje tangazo la Kazi bila simu yenye chaji?
 
Tunataka taasisi imara sio ohhh mama mama no no no tunataka hata std five anaweza kuwa Rais maana taasisi itamwongoza katiba mpya ni sasa
 
Nchi ya vijana wavivu wanaowaza gudlyf kama movie za kina Mlela mamayoooo
 
Ukiangalia tangu Samia aingie madarakani ajira zimefunguka kila pahala. Sector binafsi imekuwa more strong kiasi Cha kua absorb unemployed youths in street. Jpm alirundika graduates miaka mitano hamna ajira serikalini Wala sector binafsi tukawa tunasisitizwa tujiajiri kupitia umachinga so PhD, masters Wala degree wote wawe machinga.

Kwa sasa kila Kona matangazo ya ajira yamekuwa mengi. Ukienda banking sector kila siku Mara absa, kcb l, nmb nk ajira bwerer. Ukija huku kwenye ualimu mashule yanatoa matangazo ya ajira kwa kuehindana bapo kipindi Cha jpm ukienda kuapply shule yoyote unaambiwa hata waliopo nusu wanapunguzwa.

Viva mama rais wa wanyonge
Kuna mtu mnamuite nyie na Kuna mtu yumo mioyoni mwa watanzania... Mnapigana kumtetea mama, lakini kwa nguvu... Sasa mkuu kulkua na haja ya kusema "huyu ndie raisi wa wa wanyonge, sio Fulani"... Acheni kulinganisha watu kama kwl anaupiga mwingi , aonekane tu, kusiwe na haja ya kumtetea kiasi hiko na kumlinganisha na mtu ambae Kila mtu kwa nafsi yake mwenywe alimuita raisi wa wanyonge mkuu
 
Mbona sasa hivi ajira zimejaa kila Kona Kama nilivyoeleza hapo juu na umeme unakatika katika na mbona ajira hazikuwepo kipindi Cha jpm wakati umeme ulikuwepo. Think big



Kwa jpm kulikuwa na umeme lakini mbona alilazimisha wote wawe machinga? Alikuwa na maana gani. Hakuwa na mbinu za kutengeneza ajira
😂😂Nawewe ulikua chinga mkuu
 
Ukiangalia tangu Samia aingie madarakani ajira zimefunguka kila pahala. Sector binafsi imekuwa more strong kiasi Cha kua absorb unemployed youths in street. Jpm alirundika graduates miaka mitano hamna ajira serikalini Wala sector binafsi tukawa tunasisitizwa tujiajiri kupitia umachinga so PhD, masters Wala degree wote wawe machinga.

Kwa sasa kila Kona matangazo ya ajira yamekuwa mengi. Ukienda banking sector kila siku Mara absa, kcb l, nmb nk ajira bwerer. Ukija huku kwenye ualimu mashule yanatoa matangazo ya ajira kwa kuehindana bapo kipindi Cha jpm ukienda kuapply shule yoyote unaambiwa hata waliopo nusu wanapunguzwa.

Viva mama rais wa wanyonge
Huna adabu mtoto, kula kulala utayaonaje maisha magumu?
 
Namkubali Sana mama Samia maana kwenye lile filamu la wanyamapori alikua anarembua kuliko uwoya...
 
Ajira Kwanza Mambo mengine ni mtambuka tu. Umeme una faida gani wakati wahitimu wa vyuo walikuwa wanarandalanda tu na kuvuta shisha. Huoni Kama ni faida kwao wanamka wanaenda kazini kiasi ambacho wanaweza na wao kuoa na kuwa na familia tofauti na walivyotelekezwa na shetani yule
Wakati huyu hata mikopo hawapati.
 
Back
Top Bottom