Huyu ndio Rais wa wanyonge sasa siyo yule anajisifu tu wakati wanyonge wanakufa njaa au kutekwa

Yule fashsti mwendakuzimu alikuwa anaipeleka nchi kuzimu

Ashukuliwe mungu mwenyezi kwa kutuondolea Lile shetani lililovaa mwili wa binadamu

Sent from my Infinix X660B using JamiiForums mobile app
 
Tunasiku ya nne umeme hatuna, kazi zimesimama, maji yamekata tunachota mtaa wa nne
 
Wewe unaishi wapi huko ambako hujui faida ya umeme?
 
Mwamba huna akili.
Nasikitika ukisema umeme hauna faida wakati huo huo umeme unagawa ajira kwa watu hata wasiosoma.
Njaa zikizidi tunapoteza hata common sense
 
Mwamba huna akili.
Nasikitika ukisema umeme hauna faida wakati huo huo umeme unagawa ajira kwa watu hata wasiosoma.
Njaa zikizidi tunapoteza hata common sense
Una faida sana ila hoja yangu ni "what comes first". What should be the priority then what comes next. Read btn lines
 
Tunamshukuru samia kwa kusaidia kuichimbia ccm kaburi.
 
Huna adabu mtoto, kula kulala utayaonaje maisha mag

Una faida sana ila hoja yangu ni "what comes first". What should be the priority then what comes next. Read btn lines
Bro ajira zinazotengenzwa na umeme... Daslam tu, tukiachana na part nyingne za nchi,... Serikali HAIWEZI kuwaajili hao watu wote waliojiajiri kwa kuwekeza kwenye umeme mzee, imagine watu wote wa stationary, photoshooters, hao vijana wanaochoma miziki, hospitali binafsi ambazo bdo hazijawa kubwa kiasi kwamba wanajenereta zao, mashine za kusagia, mbna kama Kila kitu Hadi muuza feni hapo Daslam... Atamuuzia nan wakati umeme haupo... Mbna mamb yanajieleza tu mkuu,
 
Mbona kipindi Cha jpm umeme ulikuwepo lakini ajira zote zikayeyuka tukabaki tunatamani angalau tuwe machinga nchi nzima?
 
team msoga bhana
 
Kujiita Rais wa Wanyonge ni kama Slogan ya huyo kiongozi sio ishu kila kitu kiko wazi hauhitaji nguvu kubwa kuaminisha mtu. Mama anaweza kuja na yake pia Rais Anayeupiga Mwingi.

Rakini alikuwepo Rais wa Mioyoni mwa Watanzania.
Acha uzushi.
Watanzania wepi?.
 
Leo lumumba naona imechangamka hayati atakoma.

Kupambana na mfu Ujue wewe ndo umekufa
 
πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…