Sasa iyo show c iliushisha wasanii karibia wote wa kenya na ilikuwa bonaza
Kiba anatumia jina la mond na kafanya makusudi hata ukiangalia post zke kabla ya show utaona ni jambo aliolipanga kwa faida ykeBy the way, Kiba alipojua ni ya siasa ali9mba kwenda kupiga show bure, na kuwahahidi hataingilia kujitangaza sababu show ni ya Diamond Platnumz aliyelipwa pesa nyingi.
huo uwanja wa mama ngina ndo una beba watu 150,000 na zaidi?
Mu accept Kiba anatumia mgongo wa Diamond, angetangazwa yeye ndio ingebidi alete kujishooo shooo. Ila ni Diamond kaheshimika zaidi, pia muache kuchochea jamani. Kiba kaanzisha kajibiwa vizuri, huwezi kuwa surprise na kujidai umevuta crowd ya watu.
Bora ajitahidi kupiga show hata Dar, kiingilio kianzie laki tatu avute crowd kuonyesha yeye ni King na yupo juu kama anavyodai...it's that simple.
Kiba ndiyo kaanda hiyo show au ODM ndiyo wameandaa?Mu accept Kiba anatumia mgongo wa Diamond, angetangazwa yeye ndio ingebidi alete kujishooo shooo. Ila ni Diamond kaheshimika zaidi, pia muache kuchochea jamani. Kiba kaanzisha kajibiwa vizuri, huwezi kuwa surprise na kujidai umevuta crowd ya watu.
Bora ajitahidi kupiga show hata Dar, kiingilio kianzie laki tatu avute crowd kuonyesha yeye ni King na yupo juu kama anavyodai...it's that simple.
Kumbe kiba ndiyo kaanda hii show ya Mombasa?Kiba anatumia jina la mond na kafanya makusudi hata ukiangalia post zke kabla ya show utaona ni jambo aliolipanga kwa faida yke
Kumbe kiba ndiyo kaanda hii show ya Mombasa?
Hiyo ni festival kama jahazi, sio show ya Kiba uwe unauliza kwanza. Kiba hana uwezo wa kupiga one man show kama Chibu huo ndio ukweli yeye anachoweza ni kutambaa kwenye nyayo za wengine.View attachment 398594iyo nayo ilivyutwa na diamond wiki mbili nyuma... Kiba alifanya show hapo iyo picha imewekwa na gavana wa Mombasa
mahaba mabaya mno
mondi alichukuliwa kwa 5m.ksh
king kiba 3m ksh
pia sijaona kupanic kupo wapi?
Hahahahahah labda alitaka kuandika 15,000.. Watu laki na nusu anafikiri ni mchezo.huo uwanja wa mama ngina ndo una beba watu 150,000 na zaidi?
Wewe unaona hao watu wanafika ata elfu 50? Achilia mbali laki.So unafikiri uyo gavana wa Mombasa aliongopa ili apate nini?!
Yaani meneja mswahili yule hatarsallam sk[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sio kwa majungu hayo
Hamna anaeumizwa kichwa hapo ndugu yangu..
Hiyo inayoitwa "bifu" ni mbinu ya kumrudisha Alikiba katika vinywa na masikio ya wengi..
Katika maisha hakuna kinachotokea kama bahati!
Hahaaa asee watu mna roho mbaya nyinyi hadi meneja wenu[emoji23] [emoji23] [emoji23] mapovuuu yatawatoka Sana tuHamna anaeumizwa kichwa hapo ndugu yangu..
Hiyo inayoitwa "bifu" ni mbinu ya kumrudisha Alikiba katika vinywa na masikio ya wengi..
Katika maisha hakuna kinachotokea kama bahati!
Hahahahahah labda alitaka kuandika 15,000.. Watu laki na nusu anafikiri ni mchezo.
Kama anapendwa kwanini wasitumie jina lake, hii hawajamfanyia fair DiamondHuwezi kupangia waandaaji Nini cha kufanya kama makubaliano yenu yamekamilia na yeye...na iyo surprise wame ifanya coz kiba anapendwa Mombasa pia maybe walitaka kuwafurahisha watu wa Mombasa pia
Wewe unaona hao watu wanafika ata elfu 50? Achilia mbali laki.
Kama anapendwa kwanini wasitumie jina lake, hii hawajamfanyia fair Diamond