Huyu ndio Tunda bhana, msichana anayejua nini maana ya balanced diet

 
Halafu huyu tunda karibia picha zote hua anapigia hotel rooms, sijui anaishi hotelini au hua muda/mara mwingi hua anakwenda huko?
 
hahahahahah lol! Umenifurahisha sana Mkuu.

Hivi vitoto vya siku hizi tabu tupu,hapo kinatafuta tu kupata picture za kupost Insta na Fbok kanagusa gusa kanaacha huku kana njaa hatari.kama mimi kwa menu hiyo angejilipia hawezi'kunitia hasara za kibwege bwege mimi.
 
Nitumie namim niuone
 
Mtanashati hee, ebu weka hiyo video ya Amba akicheza salome, Ili tukuamini...🙂
 
Jamaniiiii Mbona huyo binti ana tuhuma ya kujiuza hata aliko huko Rwanda sasaivi ndo kilichompeleka
 
Jamaniiiii Mbona huyo binti ana tuhuma ya kujiuza hata aliko huko Rwanda sasaivi ndo kilichompeleka
alipigga picha moja matata nairobi airport duuu wabongo walimponda sana kipensi kimekatwa mpaka kwenye chura yake, bucta si bucta boxer si boxer yaani ni shiida
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…