Huku USA kila tu ni lazima amalize High School
Hilo ndo Darasa la saba la huku.
Sasa ikitokea Darasa la saba la Marekani anakua na kampuni,
Swano kama Apple wakati watu na PhD za kilimo hawawezi,
kutunza tuta la mchicha?!
Elimu ni nini?
Kuna watu ni Mabingwa wa kushusha Integral lakini hawawezi kuimba,
Wako waimbaji maarufu wengine hata kusoma hawajui.
Kuna wachoraji wa picha kali wasio wahi kusoma hata darasa moja.
Lakini hata hivyo kuna wenye PhD Masters na Digirii moja,
wamejipanga foleni kusubiri ajira.
Elimu ni nini?
Bangi wanavuta watu wengi sana,
wachache ndo huharibikiwa akili,
na huchekwa na kutaniwa na wengi,
wavutao sana bila kuonyesha,
dalili za kudhurika moja kwa moja.
Wewe unadhani siku Bill Gate anaacha shule,
Microsoft ilikuwa kampuni Tayari,
Na yeye alikuwa Bilionea.
Baba na mama yake hawakuafiki hata kidogo.
Kampuni ilianzia kwenye parking ya gari kwenye nyumba ya baba yake.
Mike Dell naye alikuwa akikacha vipindi,
kwenda kutafiti namna ya kuunda kompyuta,
Wazazi wake hawakuafiki hilo.
Enzi zao nao walionekana na kila mtu kaa si nchi nzia wavuta bangi waliochanganyikiwa zaidi, luza wakubwa.
Kama mimi ni mvutaji sugu sioni chochote cha kuzuia wewe kuwa mvutaji sugu pia au hapo baadaye kuja kudata kabisa.
kweli wewe mvutaji sugu. angalia level aliyoiacha shule bill get,angalia sababu ya kuacha shule bil get, angalia kicha cha billget, angalia elimu aliyokuwa anipata bilget! sasa huyu yeye ameandika huu uchafu umemsaidia nini kugundua vyombo vya mziki au? na alikuwa hana akili ya shule kama angekuwa na akili ya shule asingepoteza muda kuandika takataka hizi! hya sasa uyo jamaa wako kaishia form 4, mpeleke BBC akatangaze habari, aya au mpeleke azindue hata software ya nokia ya tochi tu! acha umbwiga nawewe! mwanafunzi aliyechuo kikuuu wa sasa anaweza akaacha chuo endapo atapata deal kama anaona itamtoa kimaisha na huko baadae ataamua kusoma au lah! lakini huyo mdogo wako wa form 4 kabugi, ni mjinga sana sana.