kula kimasihara sana kuna athiri sana mambo ya ndoto, haswa katika ulimwengu wa rohoHuo ndio uzuri wa wwzazi kuombea ndoto za watoto.
Wengi hatujatimiza ndoto zetu sababu shetani na majeshi yake wamezinyakuwa, hatukuwa na wa kutuombea
Nilisoma kuwa huko US marubani hulipwa hela kiduchu hadi wengine wanafanya kazi mbilimbili. Huo hii kazi imekuwa ya kawaida sana. Sema kibongobongo bado ni kazi adhimu.Urubani hauhitaji akili nyingi.
Ukiwa na mambo 3 tu inatosha.
1. Pesa
2. Utimamu wa akili na mwili
3. Lengo.
Hata ukipata form form D tatu ikiwemo angalau moja ya mathematics au physics inatosha. Ukiwa maskini sahau urubani maishani mwako hata upate A masomo yote, labda utapaisha ndege za jeshi tu
Ndo nawashangaa hawa Majuha. Urubani hata kama form four hujapata cheti kuna baadhi ya vyuo wanakuchukua baada ya katest kadogoNilisoma kuwa huko US marubani hulipwa hela kiduchu hadi wengine wanafanya kazi mbilimbili. Huo hii kazi imekuwa ya kawaida sana. Sema kibongobongo bado ni kazi adhimu.
Halafu kuna kujifunza kurusha zile ndogo kama za michezo au za kunyunyiza dawa, hata miezi sita haifiki unaitimu.
Sio ndoto bali na hela ipo bila cash itabaki kuwa ndotoHuo ndio uzuri wa wwzazi kuombea ndoto za watoto.
Wengi hatujatimiza ndoto zetu sababu shetani na majeshi yake wamezinyakuwa, hatukuwa na wa kutuombea
Huku pembeni ukiwa na mfanikishaji mwenye kibunda kinene!!Raha Sana kuishi ndani ya ndoto zako
Swadakta,eti maombi,kama huna hela utaomba mpaka mdomo uende upandeHuo ndio uzuri wa kuzaliwa kwenye pesa. OVAAAAA!!!
Mkiwa maskini, hata wazazi waombe vipi, ni kama maombi yao hayafiki vile