Huyu ndiye Cedric Kaze, Kocha mpya wa Yanga anayerudisha heshima Yanga

Kwa nini asipewe uraia wa tanzania tuanze hulka ya kudakuwa watu mashuhuri na kuwa fanya watanzania nadhani akitumika vyema akapewa na yanga b na akapewa jukumu la kusaka vipaji huenda tukafika mbali sana [[ wana simba mfu sasa hivi wataharibu upepo hapa]]
 
vyura bana! kweli kuna ushamba duniani ila huu!!!! yaani timu kama yanga ilivoshinda vimechi kadhaa ambavyo havina hata galantii ya kuongoza ligi raundi ya pili ndo tayari mmeshaanza kuongea meengi. kweli mna hamu na ubingwa ila kwa msimu huu bado hamchukui labda msimu ujao.
 
Mbona kuna watu wamenuna sana hapa......Kaze + Morrisson anawaumiza kichwa huko.......mpaka mseme ukweli umri wa Onyango na dhulma ya ubingwa mliochukua
 
Mkichukua ubingwa mtasema yeye ndiye aliye shauri matumizi ya VAR vyura ngoma bado mbichi punguzeni kelele
 
Hizi thread zenu tutakuja kuzifufua mwezi march tu hapo,Mungu akipenda inshallah!
ukweli usemwe,mimi mshabiki wa simba sichelewi kusingiziwa ni utopo kafufue nyuzi zangu utaelewa niko upande gani...KISHINGO KUNA MAWILI ABADILI MFUMO AU AONDOKE...KIUNGO KINAKUWA EXPOSED SANA KISENGESENGE,UTOPOLO TUMEWAZIDI UBORA WA WACHEZAJI SANA TU,WAMETUZIDI UBORA WA KOCHA NA SPIRIT YA TEAM,YAANI TUNACHEZA KAMA KONOKONO NA TEJA HALIJUI CHA KUFANYA MFUMO WAKE WA 4-2-3-1 UKIFELI
 
Hayo ya kufufua nyuzi nimeandika masikhara tu...japo najua soon or later wataangukia pua na nyuzi humu zitakua za kulaumu TFF ambazo kwa sasa zimepungua.

Lakini wana Simba tunahitaji uvumilivu kwa sasa...ni kweli timu ipo down na hatujui tatizo...inaweza kuwa ni wachezaji au ni kocha.
Lakini suala la kumpangia kocha mfumo wa kucheza,tunavuka sana mipaka sababu yule kasomea...na kafanya kazi ana experience kuliko sisi tunaotaka kumfundisha achezeshe mfumo gani...ingekua ni vema labda tungeng'ang'ania Uchebe arudi as mfumo wake tuliuelewa...na pia binafsi naona ni kocha bora kuliko Sven.
 
Tetesi zilizopo ni kwamba nusu ya wachezaji wa simba ni wagonjwa wanafosiwa tu kucheza na ukweli kufichwa ila wengi wameokota corona Nigeria.C.E.O wa zamani yupo hoi kitandani.Ni wakati mgumu kwa simba
 
Tetesi zilizopo ni kwamba nusu ya wachezaji wa simba ni wagonjwa wanafosiwa tu kucheza na ukweli kufichwa ila wengi wameokota corona Nigeria.C.E.O wa zamani yupo hoi kitandani.Ni wakati mgumu kwa simba
Hahahaha utopolo sasa mmeona tunavurugana kuhusu kishingo mnapandisha CD siyo,kwendeni hukooo
 
kocha huyu anaujua mpira wa afrika kwani mpira wa afrika na ulaya ni tofauti sana [ ulaya wanatumia akili zaidi na brain intellegence wakati afrika tunatumia mabavu akili ndogo zaidi na uchawi
 
kocha huyu anaujua mpira wa afrika kwani mpira wa afrika na ulaya ni tofauti sana [ ulaya wanatumia akili zaidi na brain intellegence wakati afrika tunatumia mabavu akili ndogo zaidi na uchawi
Sina maama ya kukukejeli lakini bila kulepepesa macho hii ni comment ya kipuuzi mno
 
Tetesi zilizopo ni kwamba nusu ya wachezaji wa simba ni wagonjwa wanafosiwa tu kucheza na ukweli kufichwa ila wengi wameokota corona Nigeria.C.E.O wa zamani yupo hoi kitandani.Ni wakati mgumu kwa simba
Sawa Dada kavae kjora chako. Ukacheze singeli
 
Kishingo ni mweupe,wakati anakuja alikuta bado upepo wa Uchebe unavuma ndani ya timu.
Upepo wa Uchebe umekwisha sasa anaonekana madhaifu yake namna yalivyo.
Kuku kishingo achague moja kati ya haya mambo mawili"aondoke au abaki lakini bundi aamke"
Hil jina la kuku kishingo kwakwel linachekesha sana.sio fare wazee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…