Huyu ndiye DJ Fetty bwana!

Huyu ndiye DJ Fetty bwana!

Ni aibu sana kwa mwanaume kupangisha nyumba haina choo!!!!!
Heshina ya nyumba choo bana hata kama ni ghorofa kama haina choo ni sifuri!!!
 
Hivi raha ya hicho Choo ni nini??? Au nyie ndo wazee wa kfira
Ni aibu sana kwa mwanaume kupangisha nyumba haina choo!!!!!
Heshina ya nyumba choo bana hata kama ni ghorofa kama haina choo ni sifuri!!!
 
Wakati mwingine jifunze kuibua kipaji, wengi wao wakifikia age flani nundu huwa inakuja hasa akitotoa first born (ndio watu hujuta kwanini hawakufanya maamuzi magumu)
Pale mkuu hakuna uvumbuzi asee,hiyo ni pata potea. Kuna wadada kweli ukifumba macho na kujibebea 'nundu' huwa inatokea hususani akikolezwa na 'Mkuyenge' au akijifungua. Kashakwepa mishale mingi yule.
 
Pale mkuu hakuna uvumbuzi asee,hiyo ni pata potea. Kuna wadada kweli ukifumba macho na kujibebea 'nundu' huwa inatokea hususani akikolezwa na 'Mkuyenge' au akijifungua. Kashakwepa mishale mingi yule.
Sio hawa wa kukutana nao kwenye mitandao...ukitaka kujua mwanamke yukoje kitabia na utabiri wa hali ya hewa ya mwili mwangalie mama yake na dada zake wakubwa
 
Ebana tuongee ukweli hizi type ni noma sana, yani wanavutia ile mbaya.

kiukweli mimi kwa upande wangu mwanamke mnene mweusi hata bure sichukui,hata akae uchi hapo kitandani hata sisimamishi, likini cheki mtoto huyo aina ya DJ fetty akipita tu lazima usimamishe.

wanakuaga wasafi sana hawa na wanaharufu flani hv ya asili amaizing, yan mimi kwa upande wangu nikiona kamwanamke kama haka kwa jinsi kanavonivutia natamani sijui nikameze!? natamani nikamumunye kama pipi yani.

HIVI WAKUU WATOTO KAMA HAWA WANAPATIKANA SANA MKOA GANI? HUMU JF VP kama yupo anyooshe kidoleView attachment 1011268View attachment 1011269View attachment 1011270View attachment 1011271View attachment 1011272View attachment 1011273
we umempendea nini wakat hata tako hana mkuu
 
Back
Top Bottom