Huyu ndiye Jamaa aliyetaka nikamatisha Takukuru Nihukumiwe Uhujumu Uchumi

Kesho jumatatu Mbungo atafanya press, na kutaja watu ambao ni wanted.. jiandae
 
Bro unabahati sana au hao jamaa hawakuwa Takukuru ninaowajua mm,Pesa za Takukuru zinakuwaga na chemical flani hivi kiasi kwamba ukishika tu rangi rangi zinabaki mkonono mwako for 24hrs,hiyo ni moja ya vithibiti kuwa umepokea pesa...
Pesa za madili siku hizi hatushiki mkononi vinginevyo umekwenda na maji.
 
Miaka hii not miaka ile ndugu yangu.na huo mchezo ulikuwa mwanzo na mwisho.now mambo hayapo kama mwanzo.sasa hata pesa zenyewe wanaweza kuweka na tracking device. Teknolojia ina mambo mengi.

 
Tukio ni la muda sijataka liweka bayana sana kwa some details. Ila fahamu kuwa teknolojia inabadilika....

 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Sasa swali unakua umekamatwa kwa kutumia harufu au kwa kubaki na unga unga wa kwenye pesa za takukuru? Maana cha msingi unatakiwa uwe na hizo hela sio unga wala harufu
 
kwa Taadhar tu sku hz jamaa wakikuweka kwenye Target ya pesa zao znakua na Unga flan iv ktendo cha kuzshka tu ata umpe mtu mwngne kama ulvyo fanya wakfka wakshakuweka chn ya ulnz wanatoa tochi yao na kukumulka mikono lazma udakwe tu
Kwa hivyo tuwe tunavaa gloves sio??
 
Sasa swali unakua umekamatwa kwa kutumia harufu au kwa kubaki na unga unga wa kwenye pesa za takukuru? Maana cha msingi unatakiwa uwe na hizo hela sio unga wala harufu
ukishkwa na trafk kwa kipmo cha kupuliza kile cha alcohol unakua umeshikwa ukiwa na mznga wa kvant au kiwango cha alchol?? subr ya kukute utaelewa kwa haraka zaid
 
ukishkwa na trafk kwa kipmo cha kupuliza kile cha alcohol unakua umeshikwa ukiwa na mznga wa kvant au kiwango cha alchol?? subr ya kukute utaelewa kwa haraka zaid
Hili ni jibu bora kwa siku. Tena ni jibu kwa swali
 
Hawa jamaa wagumu kwa pesa yao, nikiwa mdogo nilishuhudia wakivunja choo walipekua humo ndani hadi walizipata yaani karani wa mahakama aliistukia akaamua kuzitupa chooni Ile anatoka anakuta watu wanamsubiri kumpekua hana kuvunja Choo wakazikuta
 
hiyo ndio faida ya kachale dadek
 
MPWAA AIKUNYINGINEEE USIFURAHIEE SANAAA HIZI PESA ZA STYLE HIOO MWANZA NIMEONAA WATU WAMEFUMULIWA MARINDA WAKIAMBIWA RUDISHA ACHA SEHEMU FULAN WANAGOMAA ACHA TU ACHAA KABISA
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwani yakifumuliwa huwezi kuyashona tena?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…