Huyu ndiye kijana wa Kinyarwanda aliyechochea vurugu huko Uingereza kwa kuua watoto watatu

Huyu ndiye kijana wa Kinyarwanda aliyechochea vurugu huko Uingereza kwa kuua watoto watatu

The Mongolian Savage

JF-Expert Member
Joined
Jul 5, 2018
Posts
8,082
Reaction score
17,838
Ni kijana wa miaka 17 Axel Muganwa Rudakubana aliyezaliwa Uingereza na wazazi wa kinyarwanda wakimbizi.
20240804_103709.jpg
Kijana huyo aliyesababisha vifo vya watoto wakike watatu na kuacha wengine 10 wakipigania maisha yao Hospitalini.
20240804_103610.jpg

Ameshtakiwa mashtaka matatu
He is charged with three counts murder, 10 of attempted murder, and one count of possessing a bladed article and is remanded in youth custody.

Baada ya tukio hilo uvumi ukaenezwa kwenye mitandao ya jamii ya kuwa muuaji ni muislamu mkimbizi ambaye alivuka bahari kutoka Ufaransa kuingia Uingereza.

Mabaguzi yakachukulia hii fursa ya kumaliza chuki yao kwa kuishambulia misikiti na yoyote muhamiaji wakikutana naye.

Sheria za Uingereza hazirushu kabisa kuweka hadharani identifies ya watuhumiwa chini ya miaka 18 hasa wa mauaji lakini ikabidi hiyo sheria ivunjwe ili kuleta amani.

Ikajulikana kumbe aliyefanya mauaji siyo muislamu wala mkimbizi bali ni mkristo mnyarwanda aliyezaliwa Uingereza na ana uraia wa Uingereza.
20240804_103636.jpg


Lakini hiyo bado haikutosha mabaguzi bado tu yanang'ang'ania fujo tu na kushambulia misikiti.

Yasemekana kijana huyu mnyarwanda kapitia ubaguzi sana hadi kuathirika kisaikolojia hadi ikampelekea kufanya haya mauaji kwa kuwachinja hawa madogo hawa wa kike.

Wengine majirani wanadai alikuwa anajifungia ndani kwao na kuimba kwaya mda mrefu.

Je mtuhumiwa angekuwa mzungu mwenzao wangefanya hizi fujo?


GENTAMYCINE Black Sniper LIKUD
 
Ni kijana wa miaka 17 Axel Muganwa Rudakubana aliyezaliwa Uingereza na wazazi wa kinyarwanda wakimbizi.
Kijana huyo aliyesababisha vifo vya watoto wakike watatu na kuacha wengine 10 wakipigania maisha yao Hospitalini.

Ameshtakiwa mashtaka matatu
He is charged with three counts murder, 10 of attempted murder, and one count of possessing a bladed article and is remanded in youth custody.

Baada ya tukio hilo uvumi ukaenezwa kwenye mitandao ya jamii ya kuwa muuaji ni muislamu mkimbizi ambaye alivuka bahari kutoka Ufaransa kuingia Uingereza.

Mabaguzi yakachukulia hii fursa ya kumaliza chuki yao kwa kuishambulia misikiti na yoyote muhamiaji wakikutana naye.

Sheria za Uingereza hazirushu kabisa kuweka hadharani identifies ya watuhumiwa chini ya miaka 18 hasa wa mauaji lakini ikabidi hiyo sheria ivunjwe ili kuleta amani.

Ikajulikana kumbe aliyefanya mauaji siyo muislamu wala mkimbizi bali ni mkristo mnyarwanda aliyezaliwa Uingereza na ana uraia wa Uingereza.
View attachment 3061064

Lakini hiyo bado haikutosha mabaguzi bado tu yanang'ang'ania fujo tu na kushambulia misikiti.

Yasemekana kijana huyu mnyarwanda kapitia ubaguzi sana hadi kuathirika kisaikolojia hadi ikampelekea kufanya haya mauaji kwa kuwachinja hawa madogo hawa wa kike.

Wengine majirani wanadai alikuwa anajifungia ndani kwao na kuimba kwaya mda mrefu.

Je mtuhumiwa angekuwa mzungu mwenzao wangefanya hizi fujo?


GENTAMYCINE Black Sniper LIKUD
Kwa tulioishi maisha ya kwa wazungu muda mrefu tunajua kilichomsibu dogo. Wazungu hasa watoto ni wabaguzi balaa. Ni muhimu wazazi kuzungumza na watoto wao mara kwa mara
 
Ni kijana wa miaka 17 Axel Muganwa Rudakubana aliyezaliwa Uingereza na wazazi wa kinyarwanda wakimbizi.
Kijana huyo aliyesababisha vifo vya watoto wakike watatu na kuacha wengine 10 wakipigania maisha yao Hospitalini.

Ameshtakiwa mashtaka matatu
He is charged with three counts murder, 10 of attempted murder, and one count of possessing a bladed article and is remanded in youth custody.

Baada ya tukio hilo uvumi ukaenezwa kwenye mitandao ya jamii ya kuwa muuaji ni muislamu mkimbizi ambaye alivuka bahari kutoka Ufaransa kuingia Uingereza.

Mabaguzi yakachukulia hii fursa ya kumaliza chuki yao kwa kuishambulia misikiti na yoyote muhamiaji wakikutana naye.

Sheria za Uingereza hazirushu kabisa kuweka hadharani identifies ya watuhumiwa chini ya miaka 18 hasa wa mauaji lakini ikabidi hiyo sheria ivunjwe ili kuleta amani.

Ikajulikana kumbe aliyefanya mauaji siyo muislamu wala mkimbizi bali ni mkristo mnyarwanda aliyezaliwa Uingereza na ana uraia wa Uingereza.
View attachment 3061064

Lakini hiyo bado haikutosha mabaguzi bado tu yanang'ang'ania fujo tu na kushambulia misikiti.

Yasemekana kijana huyu mnyarwanda kapitia ubaguzi sana hadi kuathirika kisaikolojia hadi ikampelekea kufanya haya mauaji kwa kuwachinja hawa madogo hawa wa kike.

Wengine majirani wanadai alikuwa anajifungia ndani kwao na kuimba kwaya mda mrefu.

Je mtuhumiwa angekuwa mzungu mwenzao wangefanya hizi fujo?


GENTAMYCINE Black Sniper LIKUD
Kwa hoyo huyu sio gaidi?
 
Kwa tulioishi maisha ya kwa wazungu muda mrefu tunajua kilichomsibu dogo. Wazungu hasa watoto ni wabaguzi balaa. Ni muhimu wazazi kuzungumza na watoto wao mara kwa mara
Angekuwa ni muislamu,unfekuja na hoja hii ya waislamu,wanabaguluwa huko Uingereza,ndio wakawa wauaji?Au huyu kwa vile sio muislamu?
 
Waislamu wajitafakari....hata kama hawahusiki ila wajitafakari tu kuhusu mafundisho ya Imani yao.
Kwa hiyo huyu,Alex,ameua kutokana na mafundisho ya dini yake?Uzi unaeleza kuwa mda mwingi,alikuwa akiimba kwaya.Huku kuimba kwake kwaya,ndio inaonesha wazi ni muumini mzuri wa ukristo.Angekuwa muislsmu angeitwa gaidi,je huyu aitwe vipi,mtakatifu Alex?
 
Waislamu wajitafakari....hata kama hawahusiki ila wajitafakari tu kuhusu mafundisho ya Imani yao.
the best religion na hata wazungu waliyoisoma dini ya kiislamu watakwambia the same thing, hizo porojo zenu ni chuki tu zimewajaa nothing else
Wote waliosoma quran na mafundisho yake wameishia kuwa waislamu hata ,huyo aliyekuwa mbunge muholanzi wa far right wing alikuwa akipigania sheria kalia za kuwakandamiza waislamu leo amesilimu
Kiufupi tu ana degree ya dini from catholic university siyo kilaza kama wewe ,baada ya kufanya research zake kagundua ukweli upo wapi na ni muandishi wa vitabu pia
 

Attachments

  • Screenshot_20240804-102022_Chrome.jpg
    Screenshot_20240804-102022_Chrome.jpg
    457.1 KB · Views: 1
  • Screenshot_20240804-101913_Chrome.jpg
    Screenshot_20240804-101913_Chrome.jpg
    340.9 KB · Views: 1
  • Screenshot_20240804-101532_Chrome.jpg
    Screenshot_20240804-101532_Chrome.jpg
    259.3 KB · Views: 2
Ubaguzi hautaisha mkuu hapa uingereza na matukio haya yapo sana mashuleni na hata jeshi la Police na pia jeshini
Kuna mtoto mweusi walikuwa wenzake wanamtukana kila siku kwa kuwa black mwisho alichukua kisu akiwa chumbani na kuanza kujitoa ngozi ili awe mweupe he was 6
Wao wazungu duniani na hata wenzetu pia kama comment zilizomo humu
Tukio lolote likitokea mtu au watu wa kwanza kuwatuhumu ni waislam

Hata Oklahoma bombing yule jamaa alieweka bomb kwenye lile jengo miaka ya nyuma waandishi wa habari na serikali pia walituhumu ugaidi na uislam ila akaja kujulikana ni mmarekani mweupe far right

Kuna msichana kafanya kazi jeshini miaka 10 akivumilia ila kashindwa na kulishtaki jeshi akiwa na ushahidi kwani alikuwa akirekodi matukio na amepewa compensation na apology kutoka jeshini

Hali ni mbaya ila nao hawaachi ubaguzi ingawa sijawahi kukutana nayo labda kwa kuwa sijasoma utotoni
 
Waislamu wajitafakari....hata kama hawahusiki ila wajitafakari tu kuhusu mafundisho ya Imani yao.
Kwa hiyo huyu kaua,kwa mafundisho ya dini yake?Maana tunaambiwa mda mwingi,anaimba kwaya,halafu hakuua waislamu,kaua wakristo wenzake,wazungu,kwa hiyo dini yake ndio imemfundisha kuua?
 
Waislamu wajitafakari....hata kama hawahusiki ila wajitafakari tu kuhusu mafundisho ya Imani yao.
Ni Tanzania pekee raia wa kigeni anaweza kufanya unyama wa kupindukia na wananachi watanzania wanakaa kimya au pengine kumgeukia yule mwananchi mwenzao aliyefanyiwa unyama na kumzomea. Nchi nyingine na hasa za weupe ni lazima wataonyesha hasira zao hata kwa wageni wasiohusika. Waarabu wamekwenda Ng'orong'oro na kufanyia unyama wamasai huku wakiwahamisha wamasai na akina Kitenge wakishangilia.
 
Ubaguzi hautaisha mkuu hapa uingereza na matukio haya yapo sana mashuleni na hata jeshi la Police na pia jeshini
Kuna mtoto mweusi walikuwa wenzake wanamtukana kila siku kwa kuwa black mwisho alichukua kisu akiwa chumbani na kuanza kujitoa ngozi ili awe mweupe he was 6
Wao wazungu duniani na hata wenzetu pia kama comment zilizomo humu
Tukio lolote likitokea mtu au watu wa kwanza kuwatuhumu ni waislam

Hata Oklahoma bombing yule jamaa alieweka bomb kwenye lile jengo miaka ya nyuma waandishi wa habari na serikali pia walituhumu ugaidi na uislam ila akaja kujulikana ni mmarekani mweupe far right

Kuna msichana kafanya kazi jeshini miaka 10 akivumilia ila kashindwa na kulishtaki jeshi akiwa na ushahidi kwani alikuwa akirekodi matukio na amepewa compensation na apology kutoka jeshini

Hali ni mbaya ila nao hawaachi ubaguzi ingawa sijawahi kukutana nayo labda kwa kuwa sijasoma utotoni
Angekuwa huyo muuaji ni muislamu,bila kujali umri wake,angetangazwa na kuitwa gaidi,na kuanza kukamata waislamu kila kona.
 
Ubaguzi hauwezi kuisha uzunguni...

Wakati mwingine akitokea mtu kama huyo dogo unasema walau kuna mtu kawanyorosha wazungu...
 
Kwa tulioishi maisha ya kwa wazungu muda mrefu tunajua kilichomsibu dogo. Wazungu hasa watoto ni wabaguzi balaa. Ni muhimu wazazi kuzungumza na watoto wao mara kwa mara
Ndio uamue kwenda kuchoma mtu visu
 
Back
Top Bottom