Huyu ndiye kijana wa Kinyarwanda aliyechochea vurugu huko Uingereza kwa kuua watoto watatu

Huyu ndiye kijana wa Kinyarwanda aliyechochea vurugu huko Uingereza kwa kuua watoto watatu

Ubaguzi hauwezi kuisha uzunguni...

Wakati mwingine akitokea mtu kama huyo dogo unasema walau kuna mtu kawanyorosha wazungu...
Na tatizo hawawazuii watoto wao wala kuwaambia ubaguzi ni mbaya ila ndio kwanza wanachochea moto
Hasa mashuleni utaona kabisa wazazi weupe wanawabagua weusi sana
Hata tazama yao tu utaona hawakutaki
 
the best religion na hata wazungu waliyoisoma dini ya kiislamu watakwambia the same thing, hizo porojo zenu ni chuki tu zimewajaa nothing else
Wote waliosoma quran na mafundisho yake wameishia kuwa waislamu hata ,huyo aliyekuwa mbunge muholanzi wa far right wing alikuwa akipigania sheria kalia za kuwakandamiza waislamu leo amesilimu
Kiufupi tu ana degree ya dini from catholic university siyo kilaza kama wewe ,baada ya kufanya research zake kagundua ukweli upo wapi na ni muandishi wa vitabu pia
Uko sahihi kabisa mkuu.
Tatizo la binadamu ni kwamba kabla hajachukua kitu chochote ni lazima hicho kitu kimvutie kwanza.

Kwa mantiki hiyo, ukiangalia Al-shabab, Boko haram, Isis n.k ...yote yanajinasibu kupigania uislamu.
Kwa matendo yanayofanywa na hayo makundi yanatia shaka kwa wale ambao wangetamani kujiunga na hiyo dini.
 
Bora alivyowaua kwakweli najua hali aliyokapitia kwasababu hata mimi ni muhanga wa unyanyasaji kwenye familia moja ya kifaransa ambayo walinichukua nikawa naishi nao tangu nipo dogo
 
Watu wanajadili Sana kuhusu Dini lakini maandiko yanasema Nyakati za Mwisho watu wengi watamuacha Mungu... na maarifa (yao) yataongezeka Sana. Yaani maarifa yanafungua brainwashed people. Dini zitakosa mwelekeo. Kutabaki mtu na Mungu tu.
 
Imam Hussein kipenzi chetu cha dhati aendelee kunisaidia Tawfiq pekee alipambana tukapewa haishi. Inabidi atuletee amani ya kudumu.

Allah aendelee kumfanyia wepes na aendelee kumpa qauli thabeet kipenzi chetu cha dhati Imaam Hussein A.S
 
Ubaguzi hauwezi kuisha uzunguni...

Wakati mwingine akitokea mtu kama huyo dogo unasema walau kuna mtu kawanyorosha wazungu...

jamaa kauwa vititoto vidogo alafu unasema angalau? Waafrika ni makatali sana, hatuna tofauti na wanyama Pori
 
jamaa kauwa vititoto vidogo alafu unasema angalau? Waafrika ni makatali sana, hatuna tofauti na wanyama Pori

Yeye mwenyewe ni mtoto...

Ni kijana wa miaka 17 Axel Muganwa Rudakubana aliyezaliwa Uingereza na wazazi wa kinyarwanda wakimbizi.

By the way inaonesha hujawahi ishi mazingira au nchi ambayo, ngozi yetu inachukuliwa kama mnyama au zimwi hivi...
 
Wazungu ni wabaguzi kupita kiasi inahitaji moyo mimi naishi nao kwa akili hapa wengereza isitoshe kusema watoto weusi wanafanyiwa bullying na kubaguliwa sana mashuleni
 
Back
Top Bottom