Huyu ndiye mdudu chunusi wa usoni?

Huyu ndiye mdudu chunusi wa usoni?

Si kweli Mkuu kwa hoja zifuatazo:-

Chunusi (Acne Vulgaris) ni ugonjwa unaohusisha tezi za kuzalisha mafuta (oil glands) zilizopo chini ya ngozi kwenye sehemu ya vijitundu vya vinyweleo (hair follicles)

Kila kitengo huundwa na kijitundu cha kinyweleo (hair follicle), tezi ya mafuta (sebacious gland) na kinyweleo (hair). Vijitengo hivi vinapatikana sehemu zote za mwili isipokuwa maeneo ya viganja vya mikono, kwenye nyayo, sehemu za juu za miguu na kwenye midomo. Vitengo hivi hupatikana kwa wingi usoni, shingoni na kifuani.

Tezi za mafuta hutoa sebum ambayo huvisaidia ngozi na vinyweleo kutokuwa vikavu.

Mtu anapokuwa kwenye balehe, tezi hizi za mafuta hupanuka na kuwa kubwa na hutoa sebum (aina ya mafuta) kwa wingi zaidi, hali inayochangiwa na kuongezeka kwa homoni za androgens. Baada ya umri wa miaka 20, utengenezaji wa sebum hupungua.

Sasa mdudu huyo mbona sioni alipoelezewa Mkuu?
Hivi ni kipi kinaleta muwasho ukajikuna vipele vikakutoka? uataka kuniambia ni maelezo yako ndiyo hupelekea hivyo pia?
 
Vipi baka linalotaka na upele kwenye ngozi tofauti na usoni huyu mdudu pia uacha damu yake?..

Je vipi baka linatokana na kutoboa sehemu ya ngozi yako tofauti na usonj?
 
Huyo mdudu anapatikana kwny Mbogamboga,tumieni Indomectin 200EC kuwaliza.
 
Vipi baka linalotaka na upele kwenye ngozi tofauti na usoni huyu mdudu pia uacha damu yake?..

Je vipi baka linatokana na kutoboa sehemu ya ngozi yako tofauti na usonj?
hebu elezea ni km vile una kitu mkuu
 
Back
Top Bottom