Money Stunna
JF-Expert Member
- Aug 9, 2011
- 13,053
- 6,304
Kila la heri PHD.
Wanaweza....haya mambo huwa hayatabiliki muda mwingine....Wala usijisumbue hawafiki mbali
Anasafisha skendo ya upungaaa hahhhha
Ganda la mua la jana....! Uzuri wake ni kuwa hainaga makombo japo shombo halikosekaniHuyo demu anaitwa muna omary, ni mtoto wa nje wa liumba.....phd hapo anapita tu maana demu mwenyewe majanga huyo, anataka kutoka na watu wenye majina tu
PHD ni former PUNGA????
hii habari inanitatanisha!!
Huyo demu anaitwa muna omary, ni mtoto wa nje wa liumba.....phd hapo anapita tu maana demu mwenyewe majanga huyo, anataka kutoka na watu wenye majina tu
Si Kweli Kabisaaaa!
Huku mjini hata wewe ukiwa star with 'mapowder' watatakuzushia tena with filed documents....
Dinazarde umeniwahi wallah....!!!
kibongobongo mtu kama mpoki wa ze comedy,inspector haroun,mrisho mpoto hata wavae sketi na kupaka powder na hata ikitokea wamepiga picha wamepakatwa na wanaume wenzao hawawezi kuzushiwa mashoga.........kwasababu wana sura chachu,ngumu na maumbo yasiyoeleweka!...........ila ukiwa una sura ya mama kashfa zitakuja tu
kibongobongo mtu kama mpoki wa ze comedy,inspector haroun,mrisho mpoto hata wavae sketi na kupaka powder na hata ikitokea wamepiga picha wamepakatwa na wanaume wenzao hawawezi kuzushiwa mashoga.........kwasababu wana sura chachu,ngumu na maumbo yasiyoeleweka!...........ila ukiwa una sura ya mama kashfa zitakuja tu