Huyu ndiye mke mtarajiwa wa Hemedy PHD

ukishapandwa ndo utajua we ni ngazi au mbegu? pumba zipi hizo na we umesahisha kipi? nimchukie hemedi kwa lipi hasa? hapaki poda? lip bam/stick?
narudia tena KAJAMBE WEWE

Wewe mtaro unatabu kweli kweli unaongea acha kukimbilia wengine, unanuka hujiui kuchibwa mtaro na kupaka make up wanaume ni mambo mawili tofaut acha mawazo madogo sikatai kupandwa hasa na warembo coz ndio wananogesha mambo vp ww kaz kuwaza kujamba jamba na makutu wenzio
 
Hongera zao inaonekana wanapendana hadi wamefanana
 

hata sielewi umeharisha nini hapa hebu harisha tena
 

Mliwai kumshuhudia akifanya hivyo?
 
Joti kuigiza kote huko kama mwanamke na mapoda juu lakini wala hakuna wa kumfikiria mabaya!!!!
Bongo ukishakuwa soft copy tu basi wape karatasi tu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…