Freelancer Wakala
JF-Expert Member
- Feb 6, 2016
- 1,193
- 828
Kwa sababu hanaaaaaaaasema jamaa akiulizwa mkwanja alionao huwa hataji kabisaa
unawachukia tu wanaume tena bila sababu yoyote....Wewe ni jinsia gani?!
KUMBUKA UMESHASEMA UNAMCHUKIA NDIO MAANA HATA MAMBO UNAYOYAULIZA NI CHUKI BINAFSI ULIZONAZO JUU YAKE
Watu wanafanya utani na dola mkuu5.6 billion dollars? Hahhaha! You must be mistaken.
Kama unawachukia ni bora ungekaanalo tu unazingua haina haja kuleta hapaTuache unafiki mkuu...huwezi niambia hakuna binadamu humu duniani humchukii just literally...acha unafiki be honest at least.
Entertainers wanapenda kua likable....mimi siwapendi hawa jamaa wawili...biashara zao ni muziki,ni public,na mi ni mmojawapo wa hadhira,kati ya watu mil40 nchi hii,nimetokea kuichukia kazi yao na whatever they do,I hate them for the f.uck of it.
Na kuchukia,I mean chuki haibagui jinsia,atleast acha unafiki for once.
Nawachukia tu,case closed.
kweli hii ni tz ya vichaa, yan anamzidi hadi trump mwenye 4.2 bn$.Ni kweli kabisa usemacho, na utajiri wake kwasasa ni 5.6b$.
5.6b$ za U.S.hata Mudy wa Simba hamfikii huyu jamaa.5.6$ ya US au Zimbabwe?
Sijakosea na ninajua ninachokisema kama vipi ngoja nikuonyeshe kuwa sijakosea.Hapana ajavurungwa hesabu za makum na mamia zilimpita.
Hujakosea, Trump atasubiri sana boti uwanja wa ndege kwa huyu jamaa.kweli hii ni tz ya vichaa, yan anamzidi hadi trump mwenye 4.2 bn$.
Lakini A.Y kafikisha na kazipita.Maana hata kina dr. Dre, P diddy,jay z, akina Birdman
Hawajawahi fikisha hata Us dollar 1 billion
Laki 1 x 10 =1m x 1,000 = 1bilioni x 1,000 = 1 trilioni, kwahiyo husidhani jamaa ni wadunia hii.Mkuu acha kubishana na hawa jamaa maana hawa wanahitaji kurudi chekechea waanze mwanzo kusoma namba eti 5.6 Billion dollars,
Hivi kwanza wanazijua hizo pesa walizotaja kibongo bongo,
Hizo pesa approximation ni kama Tsh. Trillion 11
Anamiliki kampuni ya Unity Entertainment...wakati in the same time nasikiwa kasaini na sijui na kampuni ya Babu Tale,or somebody else,ila kasaini kwa mtu tena recently tu...
Therefore kwenye medani ya biashara za ku-manage wasanii na biashara ya muziki kwa jumla hajafaulu...unaendaje kusainiwa kama msanii kampuni ya mwingine yako unamwachia nani?
Na pia,hizi taarifa za mali na mafanikio ya biashara kwa wasanii hua siamini takwimu,kiasili wasanii wote wanakuza vitu mara tatu zaidi ya ukweli just kujenga taswira ya showbiz,nothing more.
Hizo takwimu mi zitakua halisi kwangu kama nikizichukua na kugawanya kwa 3....
Na pia niweke wazi mrengo wangu,AY na MwanaFA nawachukia tu,sijui kwanini,I can not stand these guys...mi sio mnafiki,I hate these ni.ggaz for the sake of it....unajua kuna watu tu hua unawachukia bila sababu,basi kwangu mimi ni hawa jamaa,...basi tu,na sitaki ushauri [emoji37][emoji37][emoji37][emoji37]
If Jesus is paying LeBron ,Anamiliki kampuni ya Unity Entertainment...wakati in the same time nasikiwa kasaini na sijui na kampuni ya Babu Tale,or somebody else,ila kasaini kwa mtu tena recently tu...
Therefore kwenye medani ya biashara za ku-manage wasanii na biashara ya muziki kwa jumla hajafaulu...unaendaje kusainiwa kama msanii kampuni ya mwingine yako unamwachia nani?
Na pia,hizi taarifa za mali na mafanikio ya biashara kwa wasanii hua siamini takwimu,kiasili wasanii wote wanakuza vitu mara tatu zaidi ya ukweli just kujenga taswira ya showbiz,nothing more.
Hizo takwimu mi zitakua halisi kwangu kama nikizichukua na kugawanya kwa 3....
Na pia niweke wazi mrengo wangu,AY na MwanaFA nawachukia tu,sijui kwanini,I can not stand these guys...mi sio mnafiki,I hate these ni.ggaz for the sake of it....unajua kuna watu tu hua unawachukia bila sababu,basi kwangu mimi ni hawa jamaa,...basi tu,na sitaki ushauri [emoji37][emoji37][emoji37][emoji37]
hahahaaa, n0ma sana. mgumu2 avatar ina match ma yangu, huyo jamaa unamkumbuka kwa lipi?If Jesus is paying LeBron ,
I'm paying Dwyane Wade
hahahaaa, n0ma sana. mgumu2 avatar yako ina match na yangu, huyo jamaa unamkumbuka kwa lipi?If Jesus is paying LeBron ,
I'm paying Dwyane Wade
5bn ? Hiyo ni dola 5m.5.6 billion dollars? Hahhaha! You must be mistaken.
Mimi simchukii mtu yoyote maana naamini hizo ni tabia za kike.Tuache unafiki mkuu...huwezi niambia hakuna binadamu humu duniani humchukii just literally...acha unafiki be honest at least.
Entertainers wanapenda kua likable....mimi siwapendi hawa jamaa wawili...biashara zao ni muziki,ni public,na mi ni mmojawapo wa hadhira,kati ya watu mil40 nchi hii,nimetokea kuichukia kazi yao na whatever they do,I hate them for the f.uck of it.
Na kuchukia,I mean chuki haibagui jinsia,atleast acha unafiki for once.
Nawachukia tu,case closed.