Huyu ndiye msanii mwenye mafanikio makubwa kuliko yeyote Tanzania nzima

Huyu ndiye msanii mwenye mafanikio makubwa kuliko yeyote Tanzania nzima

Top 5 Richest Artiste in Nigeria.
1478098473626.png
1478098509947.png
1478098520880.png
1478098532609.png
1478098547357.png
 
unawachukia tu wanaume tena bila sababu yoyote....Wewe ni jinsia gani?!

Tuache unafiki mkuu...huwezi niambia hakuna binadamu humu duniani humchukii just literally...acha unafiki be honest at least.

Entertainers wanapenda kua likable....mimi siwapendi hawa jamaa wawili...biashara zao ni muziki,ni public,na mi ni mmojawapo wa hadhira,kati ya watu mil40 nchi hii,nimetokea kuichukia kazi yao na whatever they do,I hate them for the f.uck of it.

Na kuchukia,I mean chuki haibagui jinsia,atleast acha unafiki for once.

Nawachukia tu,case closed.
 
KUMBUKA UMESHASEMA UNAMCHUKIA NDIO MAANA HATA MAMBO UNAYOYAULIZA NI CHUKI BINAFSI ULIZONAZO JUU YAKE

Ndio maana nime-declare kabisa nina chuki..

Huwenda chuki yangu ime-influence judgement yangu finally ila ku-prove hivyo inatakiwa wewe ambae huna chuki nao upo neutral utoe takwimu twende ngazi kwa ngazi tuone nani mkweli...

By the way,mimi nina chuki most likely nikatoa biased judgement na wewe mwenye "upendo" nao u are not less or more than me,u are most like kutoa the same biased judgement,hivyo anaehitajika hapa theoretically mtu asie na upendo wala chuki nao ambapo practically mtu huyo hayupo,mimi na wewe wote ni biased,case closed.
 
Tuache unafiki mkuu...huwezi niambia hakuna binadamu humu duniani humchukii just literally...acha unafiki be honest at least.

Entertainers wanapenda kua likable....mimi siwapendi hawa jamaa wawili...biashara zao ni muziki,ni public,na mi ni mmojawapo wa hadhira,kati ya watu mil40 nchi hii,nimetokea kuichukia kazi yao na whatever they do,I hate them for the f.uck of it.

Na kuchukia,I mean chuki haibagui jinsia,atleast acha unafiki for once.

Nawachukia tu,case closed.
Kama unawachukia ni bora ungekaanalo tu unazingua haina haja kuleta hapa
 
Mkuu acha kubishana na hawa jamaa maana hawa wanahitaji kurudi chekechea waanze mwanzo kusoma namba eti 5.6 Billion dollars,
Hivi kwanza wanazijua hizo pesa walizotaja kibongo bongo,
Hizo pesa approximation ni kama Tsh. Trillion 11
Laki 1 x 10 =1m x 1,000 = 1bilioni x 1,000 = 1 trilioni, kwahiyo husidhani jamaa ni wadunia hii.
 
Anamiliki kampuni ya Unity Entertainment...wakati in the same time nasikiwa kasaini na sijui na kampuni ya Babu Tale,or somebody else,ila kasaini kwa mtu tena recently tu...

Therefore kwenye medani ya biashara za ku-manage wasanii na biashara ya muziki kwa jumla hajafaulu...unaendaje kusainiwa kama msanii kampuni ya mwingine yako unamwachia nani?

Na pia,hizi taarifa za mali na mafanikio ya biashara kwa wasanii hua siamini takwimu,kiasili wasanii wote wanakuza vitu mara tatu zaidi ya ukweli just kujenga taswira ya showbiz,nothing more.

Hizo takwimu mi zitakua halisi kwangu kama nikizichukua na kugawanya kwa 3....

Na pia niweke wazi mrengo wangu,AY na MwanaFA nawachukia tu,sijui kwanini,I can not stand these guys...mi sio mnafiki,I hate these ni.ggaz for the sake of it....unajua kuna watu tu hua unawachukia bila sababu,basi kwangu mimi ni hawa jamaa,...basi tu,na sitaki ushauri [emoji37][emoji37][emoji37][emoji37]
Anamiliki kampuni ya Unity Entertainment...wakati in the same time nasikiwa kasaini na sijui na kampuni ya Babu Tale,or somebody else,ila kasaini kwa mtu tena recently tu...

Therefore kwenye medani ya biashara za ku-manage wasanii na biashara ya muziki kwa jumla hajafaulu...unaendaje kusainiwa kama msanii kampuni ya mwingine yako unamwachia nani?

Na pia,hizi taarifa za mali na mafanikio ya biashara kwa wasanii hua siamini takwimu,kiasili wasanii wote wanakuza vitu mara tatu zaidi ya ukweli just kujenga taswira ya showbiz,nothing more.

Hizo takwimu mi zitakua halisi kwangu kama nikizichukua na kugawanya kwa 3....

Na pia niweke wazi mrengo wangu,AY na MwanaFA nawachukia tu,sijui kwanini,I can not stand these guys...mi sio mnafiki,I hate these ni.ggaz for the sake of it....unajua kuna watu tu hua unawachukia bila sababu,basi kwangu mimi ni hawa jamaa,...basi tu,na sitaki ushauri [emoji37][emoji37][emoji37][emoji37]
If Jesus is paying LeBron ,
I'm paying Dwyane Wade
 
Tuache unafiki mkuu...huwezi niambia hakuna binadamu humu duniani humchukii just literally...acha unafiki be honest at least.

Entertainers wanapenda kua likable....mimi siwapendi hawa jamaa wawili...biashara zao ni muziki,ni public,na mi ni mmojawapo wa hadhira,kati ya watu mil40 nchi hii,nimetokea kuichukia kazi yao na whatever they do,I hate them for the f.uck of it.

Na kuchukia,I mean chuki haibagui jinsia,atleast acha unafiki for once.

Nawachukia tu,case closed.
Mimi simchukii mtu yoyote maana naamini hizo ni tabia za kike.

Ndio maana kabla hatujaanza kujadili hizo chuki zako za bila sababu kwa huyu jamaa nilitaka kujua jinsia yako.

Wewe ni JINSIA GANI?!
 
Back
Top Bottom