Huyu ndiye msanii mwenye mafanikio makubwa kuliko yeyote Tanzania nzima

Huyu ndiye msanii mwenye mafanikio makubwa kuliko yeyote Tanzania nzima

Anamiliki kampuni ya Unity Entertainment...wakati in the same time nasikiwa kasaini na sijui na kampuni ya Babu Tale,or somebody else,ila kasaini kwa mtu tena recently tu...

Therefore kwenye medani ya biashara za ku-manage wasanii na biashara ya muziki kwa jumla hajafaulu...unaendaje kusainiwa kama msanii kampuni ya mwingine yako unamwachia nani?

Na pia,hizi taarifa za mali na mafanikio ya biashara kwa wasanii hua siamini takwimu,kiasili wasanii wote wanakuza vitu mara tatu zaidi ya ukweli just kujenga taswira ya showbiz,nothing more.

Hizo takwimu mi zitakua halisi kwangu kama nikizichukua na kugawanya kwa 3....

Na pia niweke wazi mrengo wangu,AY na MwanaFA nawachukia tu,sijui kwanini,I can not stand these guys...mi sio mnafiki,I hate these ni.ggaz for the sake of it....unajua kuna watu tu hua unawachukia bila sababu,basi kwangu mimi ni hawa jamaa,f.uck em...basi tu,na sitaki ushauri [emoji37][emoji37][emoji37][emoji37]
si kweli unenayo
 
si kweli unenayo

Haya nipe takwimu ya turnover ya vyote hivyo japo in a year:

1.Kampuni yake biashara ya muziki
2.Kipindi cha Mkasi (nadhani ana %,sio yake 100%)
3.Kipindi cha Ngazi kwa Ngazi (ana % sidhani kama ana 100%)
4.Mapato yake kama msanii kwa mwaka
5.Kampuni zingine kama anazo.
6.Assets zake zote alizonazo,ondoa magari
7.Kingine chochote worth mentioning

Kutaja majina ya vikampuni ambavyo anavyo au ana mkono wake sio tatizo,most definitely ni hasara tu hadi hivyo vipindi unavyodhani

Pia mapato yake kama msanii binafsi infact kama serious at this point of his career,hata ukitaja nadhani itakua ni kichekesho.

Twende kwa namba,kama hata hujui kiuhakika basi twende kwa educated guesses basi,uone namba zitakavyokua ndogo mkuu
 
Anamiliki kampuni ya Unity Entertainment...wakati in the same time nasikiwa kasaini na sijui na kampuni ya Babu Tale,or somebody else,ila kasaini kwa mtu tena recently tu...

Therefore kwenye medani ya biashara za ku-manage wasanii na biashara ya muziki kwa jumla hajafaulu...unaendaje kusainiwa kama msanii kampuni ya mwingine yako unamwachia nani?

Na pia,hizi taarifa za mali na mafanikio ya biashara kwa wasanii hua siamini takwimu,kiasili wasanii wote wanakuza vitu mara tatu zaidi ya ukweli just kujenga taswira ya showbiz,nothing more.

Hizo takwimu mi zitakua halisi kwangu kama nikizichukua na kugawanya kwa 3....

Na pia niweke wazi mrengo wangu,AY na MwanaFA nawachukia tu,sijui kwanini,I can not stand these guys...mi sio mnafiki,I hate these ni.ggaz for the sake of it....unajua kuna watu tu hua unawachukia bila sababu,basi kwangu mimi ni hawa jamaa,f.uck em...basi tu,na sitaki ushauri [emoji37][emoji37][emoji37][emoji37]
unawachukia tu wanaume tena bila sababu yoyote....Wewe ni jinsia gani?!
 
Anaitwa AMBWENE YESSAYA AKA AY ni mmoja wa wasanii ambaye ana mafanikio makubwa sana kimuziki kuliko msanii yeyote yule hapa nchini Tanzania, vile vile yeye ndiye msanii wa kwanza Tanzania kuipeperusha bendera ya Tanzania katika anga za kimataifa mpaka ulaya. Historia yake ya muziki ilianzia miaka 1998

-Pesa yake ya kwanza kurekodi ngoma studio alipewa na mama yake Tshs 20000/=
-Ni mkulima (ana mashamba ya mpunga zaidi ya heka 100 huko ifakara Morogoro
-Ni mjasiriamali mwenye biashara nyingi ikiwemo duka la nguo
-Ni mmiliki wa vipindi vya TV vya MKASI na NGAZI KWA NGAZI vinavyorushwa EAST AFRICA TV

-Anamiliki kampuni ya UNITY ENTERTAINMENT inayojihusisha na uwakala wa kazi za sanaa, matangazo na kuunganisha wasanii, pia kuleta wasanii wa nje


CONCLUSION:
HAYO NI MACHACHE KUHUSIANA NA SUPER LEGEND AY MZEE WA COMERCIAL
Waswahili sasa hivi utawasikia wakisema kuwa ni mfuasi wa dini ya mashetani na alimtoa mama yake kafara
 
Haya nipe takwimu ya turnover ya vyote hivyo japo in a year:

1.Kampuni yake biashara ya muziki
2.Kipindi cha Mkasi (nadhani ana %,sio yake 100%)
3.Kipindi cha Ngazi kwa Ngazi (ana % sidhani kama ana 100%)
4.Mapato yake kama msanii kwa mwaka
5.Kampuni zingine kama anazo.
6.Assets zake zote alizonazo,ondoa magari
7.Kingine chochote worth mentioning

Kutaja majina ya vikampuni ambavyo anavyo au ana mkono wake sio tatizo,most definitely ni hasara tu hadi hivyo vipindi unavyodhani

Pia mapato yake kama msanii binafsi infact kama serious at this point of his career,hata ukitaja nadhani itakua ni kichekesho.

Twende kwa namba,kama hata hujui kiuhakika basi twende kwa educated guesses basi,uone namba zitakavyokua ndogo mkuu
KUMBUKA UMESHASEMA UNAMCHUKIA NDIO MAANA HATA MAMBO UNAYOYAULIZA NI CHUKI BINAFSI ULIZONAZO JUU YAKE
 
Maana hata kina dr. Dre, P diddy,jay z, akina Birdman
Hawajawahi fikisha hata Us dollar 1 billion
 
Back
Top Bottom