Huyu ndiyo kwanza namuona mda huu.Anaitwa meena ally ni mtangazaji wa clouds FM binafsi Mimi nampenda namkubali
Anakipaji kikubwa sana alafu pia ni mrembo hanaga maringo
View attachment 969064View attachment 969063View attachment 969071View attachment 969073View attachment 969075
Huyo wa upande wa kulia aliyepiga naye picha ni nani??Anaitwa meena ally ni mtangazaji wa clouds FM binafsi Mimi nampenda namkubali
Anakipaji kikubwa sana alafu pia ni mrembo hanaga maringo
View attachment 969064View attachment 969063View attachment 969071View attachment 969073View attachment 969075
Huyu anazidiwa hata na Sakkina LyokaTatizo chura hanaaa
Picha za 360 noma asee siku nimekutana na Vanessa &Jux kidogo nidondokeMlishawahi kuonana na Mina mubashara kabisa ukiachana na picha hizo za 360. Ila uzuri wa mtu upo machoni pa mtu
hahhahahaaaaPicha za 360 noma asee siku nimekutana na Vanessa &Jux kidogo nidondoke
unamjua Barbra Hassan alivyo mrembo kweli wwAnaitwa meena ally ni mtangazaji wa clouds FM binafsi Mimi nampenda namkubali
Anakipaji kikubwa sana alafu pia ni mrembo hanaga maringo
View attachment 969064View attachment 969063View attachment 969071View attachment 969073View attachment 969075
Kabisa na ile mimake ups ndo inamfanya aonekane mzuri ila wa kawaida mnooooPenny sio mzuri kiandunje hafu mnene ka kiboko
Surenguvu ya makeup,adobe, high resolution cameras, angalia ile video kawahoji machalii wa chuga with no makeup ndo ujue ni mzuri ama la, ani leo anaonekana mzuri kesho mmbaya sa ndo ma nini[emoji23][emoji23][emoji23]
awe na swaga flan zile za kike,sauti yake awe anaibana flani hivi yani mapozi ya kike,aah mbona watu tungekuwa tunashinda clouds pale dailyApunguze kuongea ongea na kucheka hovyo