Huyu ndiye mtangazaji mrembo kuliko wote Tanzania

Waoo nampendaga sana meena nilitamani kumjua nw nimempata she's so cute aisee ningekua mwanaume ningemuoa aki tena...
 
Mkuu,,,turushie na picha yake KASIMAMA,,,isije ikawa SHAPE YAKE KAMA ANACHOMA SINDANO...
 
Meena mzuri balaa namkubali akicheka tu mi hoi
 
Sisi viziwi ambao hatuwezi kiwikiliza wala kuwaelewa watu bila kuwaangalia usoni tuna comment wapi?
 
Apunguze kuongea ongea na kucheka hovyo
awe na swaga flan zile za kike,sauti yake awe anaibana flani hivi yani mapozi ya kike,aah mbona watu tungekuwa tunashinda clouds pale daily
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…