Money Stunna
JF-Expert Member
- Aug 9, 2011
- 13,053
- 6,304
Flaviana Matata ni jina linalofahamika zaidi hapa Tanzania na hata nje ya Tanzania, Flaviana ambaye alizaliwa June 9, 1987 (age 26), Shinyanga, Tanzania Amekuwa ndiye mtanzania wa kwanza kwa akaunti yake ye facebook kuwa Verified na kuwa official kwa kuwepo alama ya Tiki katika akaunti yake inavoonekana hapa chini
Kampuni ya Tigo Tanzania ilikuwa ndiyo ya kwanza kuwa Verified katika mtandao wa kijamii wa facebook, Twitter msanii wa kwanza kukubaliwa na kuwa verified ni Ay.
Kampuni ya Tigo Tanzania ilikuwa ndiyo ya kwanza kuwa Verified katika mtandao wa kijamii wa facebook, Twitter msanii wa kwanza kukubaliwa na kuwa verified ni Ay.

