Huyu ndiye mwanamke mrembo kuliko wote duniani

Mtu anaitwa mzuri kuliko wote kwa kuonewa huruma?
 
Bila chura hakuna uzuri hapo
 
hell no she's black yes but no man try again..and remember the beauty of somebody rely in somebody who;s looking to them
 
Automatically wanawake weusi kama hao huwa wamoto, wekundu kwa ndani, yani inakuwa Nyekundu na joto la kutosha.... Halafu wanakuwa hawanuki bali wananukia kike
[emoji16] hapo kwa wekundu kwa ndani umenikumbusha jambo
 
kuna mtaa unaitwa duniani.... labda ni mrembo kwa mtaa wa duniani anakotoka[emoji23][emoji23][emoji817]
 
Mrembo...yes
Mzuri....Lemme think?#@
 
Cheupe dawa wako hawezi kufikia hata theluthi tu ya warembo weusi.

Ukibisha nakupa pole lkn kwa ushahidi zaidi ulizia Me waliowahi kuwa na mahusiano kati yao wote wawili( black and white beautiful girls) wakujibu mubashara.
Acha theluthi hata thuduthi au thumni, kila mtu na chaguzi lake brother.
Kwangu mrembo lazima awe Mweupe.
 
Kufikiri kwa niaba yetu...🙂🙂

Kuna yule Nyandak Duckie Thot naye....
 
Labda ungesema huyu ni mwanamke mweusi zaidi aliye ulaya huko tena sio duniani. Njoo mbeya huku uone warembo wa dunia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…