Huyu ndiye mwanamke mrembo kuliko wote duniani

Huyu ndiye mwanamke mrembo kuliko wote duniani

Huyu binti amezaliwa sudani kusini ila sasa anaishi huko majuu ni mrembo haswa wazungu ambao ndio hufikiri kwa niaba yetu wanasema huyu ndiye msichana mzuri na mrembo zaidi duniani

Nimeleta hizi Picha kuwakumbusha dada zetu kuhusu maana halisi ya urembo

Huyu angezaliwa Tanzania sahivi angekuwa na rangi kama saba hivi mwilini mwake

Ikumbukwe wa Sudan ndio walikuwa wamisiri originally kabla ya waarabu hawajavamia Africa kaskazini na kuwatimuaView attachment 1143496View attachment 1143497View attachment 1143498View attachment 1143499View attachment 1143500View attachment 1143502View attachment 1143503View attachment 1143504View attachment 1143505
Bila chura hakuna uzuri hapo
 
Huyu binti amezaliwa sudani kusini ila sasa anaishi huko majuu ni mrembo haswa wazungu ambao ndio hufikiri kwa niaba yetu wanasema huyu ndiye msichana mzuri na mrembo zaidi duniani

Nimeleta hizi Picha kuwakumbusha dada zetu kuhusu maana halisi ya urembo

Huyu angezaliwa Tanzania sahivi angekuwa na rangi kama saba hivi mwilini mwake

Ikumbukwe wa Sudan ndio walikuwa wamisiri originally kabla ya waarabu hawajavamia Africa kaskazini na kuwatimuaView attachment 1143496View attachment 1143497View attachment 1143498View attachment 1143499View attachment 1143500View attachment 1143502View attachment 1143503View attachment 1143504View attachment 1143505
hell no she's black yes but no man try again..and remember the beauty of somebody rely in somebody who;s looking to them
 
Automatically wanawake weusi kama hao huwa wamoto, wekundu kwa ndani, yani inakuwa Nyekundu na joto la kutosha.... Halafu wanakuwa hawanuki bali wananukia kike
[emoji16] hapo kwa wekundu kwa ndani umenikumbusha jambo
 
kuna mtaa unaitwa duniani.... labda ni mrembo kwa mtaa wa duniani anakotoka[emoji23][emoji23][emoji817]
 
Mrembo...yes
Mzuri....Lemme think?#@
 
Cheupe dawa wako hawezi kufikia hata theluthi tu ya warembo weusi.

Ukibisha nakupa pole lkn kwa ushahidi zaidi ulizia Me waliowahi kuwa na mahusiano kati yao wote wawili( black and white beautiful girls) wakujibu mubashara.
Acha theluthi hata thuduthi au thumni, kila mtu na chaguzi lake brother.
Kwangu mrembo lazima awe Mweupe.
 
Kufikiri kwa niaba yetu...🙂🙂

Kuna yule Nyandak Duckie Thot naye....
 
Labda ungesema huyu ni mwanamke mweusi zaidi aliye ulaya huko tena sio duniani. Njoo mbeya huku uone warembo wa dunia.
 
Back
Top Bottom