Unajua puti ww....???Kioo hakidanganyi mtoto shombee aka point 5. Sina team yoyote ila anavutia kama anavoonekana kwenye picha.
bMUzuri wa dukani...crap!
Nakubaliana na wewe mkuuHuyu mwanamke ni mzuri ndiyo lakini uzuri wake unachangiwa zaidi na aina ya maisha anayoishi. Mkuu ukibahatika kutembelea vijijini hasa maeneo ya Mbulu huko ndani ndani kuna Wasichana wazuri sana wakiwa katika maisha ya asili kabisa bila make-up, wala nywele za bandia.
Au ukifanikwa kutembelea Ethiopia ua Eritrea ukaenda vijijini huko kuna Wasichana ni Wazuri balaa, achilia mbali wamepigwa sana na maisha lakini bado ukimtazama unaona uzuri wake wa asili.