Kaabad
JF-Expert Member
- Aug 18, 2018
- 375
- 473
Kama nilijua lazima aibuke mmoja tu [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Team hamisaaa mlike hapa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama nilijua lazima aibuke mmoja tu [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Team hamisaaa mlike hapa
Ana chura?
Wenyewe wanaita foundationMondo anafaidi....
Ana masikio kama popoTeam hamisaaa mlike hapa
Unaweza ukamkimbia mkuuWeka picha ambayo haina make up wala haijafanyiwa filtering has a akiwa kaamka asubuhi hajanawa
Kakutuma uje umpost humu! Mwanamke mzuri ni mke wangu ambaye ndiye niliona anafaa kuliko wanawake wengine. Hafu dogo uzuri wa mwanake inategemea na hitaji la mwanaume: wengine hupenda rangi ya ngozi, wezele, tabasamu, miguu, macho, kuongea nk sawa acha kuwa unajiandikia vitu hovyohovyoHuyu mama kimuonekano mtu akikuambia ana watoto watano unabisha.... anaonekana bado "binti mbichi" kabisa... Zari the bosslady ukimfananisha na mastaa wetu wa bongo ambao wana mtoto mmoja, wawili na wengine hawana hata wa kusingiziwa, utagundua kuwa yeye ndiye balaa zaidi... kawafunika wote... hebu pepesa macho hapa ujioneeView attachment 870038View attachment 870040
Kafaidi wapi janjaro inawezekana kabisa kaachiwa ngwengwe maana manzi alikuwa anatembea na mshkaji flan anaitwa ababuu nae ni marehemu sasa...acha chaini iendeleeView attachment 870397
Haaaaa ndo nin mkono wa nyani
JULIANA =HIV
Labda analia kwa kuachiwa ngoma kama mdau mmoja alivyosema hapo juu
Kama yanguAna chura?