Mtoto halali na hela
JF-Expert Member
- Aug 10, 2012
- 52,160
- 48,974
Angalia hapa Binti PK halaf hajapaka makeup hapa ni natural....siku nyingine uache kufananisha upuuzi na vitu vya maanaHuyu mama kimuonekano mtu akikuambia ana watoto watano unabisha.... anaonekana bado "binti mbichi" kabisa... Zari the bosslady ukimfananisha na mastaa wetu wa bongo ambao wana mtoto mmoja, wawili na wengine hawana hata wa kusingiziwa, utagundua kuwa yeye ndiye balaa zaidi... kawafunika wote... hebu pepesa macho hapa ujioneeView attachment 870038View attachment 870040
Urembo was PowerPoint...Huyu mama kimuonekano mtu akikuambia ana watoto watano unabisha.... anaonekana bado "binti mbichi" kabisa... Zari the bosslady ukimfananisha na mastaa wetu wa bongo ambao wana mtoto mmoja, wawili na wengine hawana hata wa kusingiziwa, utagundua kuwa yeye ndiye balaa zaidi... kawafunika wote... hebu pepesa macho hapa ujioneeView attachment 870038View attachment 870040
Ana watoto wa5?Angalia hapa Binti PK halaf hajapaka makeup hapa ni natural....siku nyingine uache kufananisha upuuzi na vitu vya maanaView attachment 870569
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ana masikio kama popo
[emoji2] [emoji2] [emoji23] [emoji23] [emoji109]Weka picha ambayo haina make up wala haijafanyiwa filtering has a akiwa kaamka asubuhi hajanawa