Sijui na mimi niko kundi hili?Eiyer kama sikuelewi vile!!
<br />
<br />
Nafikiri dada yangu hujui ni wakati gani tabia na mitazamo ya mtu hujengwa,kama ulikua hujui ni wakati wa malezi,hata wewe mitazamo yote uliyonayo leo ni kutokana na namna ulivyolelewa!Hakuna kuku anaetaga yai viza ila uatamiaji wa huyo kuku ndo utakaosababisha uviza wa yai!
Dada Rose,kwanza nakushukuru kwa kukubali,pia nakubaliana na wewe kuwa uhalisia wa maisha hayo haupo!So kama haupo now days tufanye nini?Tukae tu?Hey!We need to do something!Kwani kuna ubaya tukianzia hapa?Tena ndo kwenye mzizi wa tatizo,mwanamke ndo ameshikilia mtazamo na afya ya mwanadamu kwani jambo hili huanzia tumboni,mama mjamzito hushare hisia,feelings,chakula n.k,hebu fikiria fujo,msongo wa mawazo,maudhi n.k yaliyopo ofisini halafu uniambie huyo mtoto aje kuwa salama?Not at all!
<br />Ki ukweli hali halisi ya maisha inalazimisha wote wawili kutoka na kutafuta shilingi. Ingawa ukija kwenye swala zima la uhalisia wa malezi na tabia ya mtoto anahitaji muda zaidi na wazazi wake kuliko hali halisi ya sasa ya familia zetu nyingi. Kuacha kazi kwa mzazi mmoja kwa ajili ya kulea ni ngumu katika mchakato wa kusaidiana maisha na kiuchumi. Si ungi mkono hoja.
umeongea kweli tupuuuuuuuuuuu..lakin kaka maisha aya si yale...wataka tukae home tu na jukumu kubwa ni kulea watoto ili kuwaunda katika maadili na maarifa mema ili waje kuwa viongozi/watu wema apo badaye lakin je KATIKA UAHALISIA MAISHA AYO YAPO?
1.ukae tu home mume alete kila siku?....kula ,ada....na matumizi mengne....ataweza peke yake?
2.mara ngap umeskia kes ahhh mis tak kuoa golikipa?unadhani wanamaanisha nin?
3.MARA NGAP umeskia mwanamke analalamika kusimangwa na mmewe kisa hana kaz/anamtegemea yeye tu?
4.MARA NGAP WANAUMAE WAMETELEKEZA FAMILIA..??.....NO ADA KWA WATOTO,NO CHAKULA..NO WAT NO WAT....then apo mama bado tu akubali kujikalisha ata km ana channel za kujipatia sh 10 yake?
WANAUME WENG WANABADIRIKA ...leo anakupa kesho akimpata mwajuma chup 7 basi sahau aupat tena na km alikuwa nakupa elfu 10 kwa siku bas utapewa mia 5....sasa inatosha nini?au usiipate kabisaaaaa...
note;USIWALAUMU WANAWAKE KWA KUJIIINGIZA KWENYE IZO ULIZOZIITA KAZ ZA WANAUME...MUDA /HALI IMEFANYA WANAWAKE WAINGIE MZIGONI KUTAFUTA NOTE NA WALA SI KWA MAPENZ YAO BALI HALI YENYEWE IMEAWAFORCE.
NAWASILISHA.
<br />nadhan wewe ndo uji<br />
n ur so bias<br />
<br />
open your mind boy n THK KWA UJMLA WAKE NINI KIMESABABISHA WANAWAKE WAINGIE MZIGON KABLA AUJALAUMU WANAWAKE KUTOKAA NYUMBAN....<br />
<br />
usiwaze ukiwa kwenye boksi...toka kwenye boksi....<br />
<br />
na kuhusu kujua tabia/mitazamo/mwenendo wa mwanaadamu unajengwa kipind /wakat gan....kivip?LABDA NIKUFUNDISHE WEWE CZ NDO FIELD YANGU<br />
<br />
<br />
<br />
usipende kuconclude jambo kwa kutumia nadharia moja....PANUA macho tazama kwa makin case study chukulia tz ili iwe rahisi kwako then come bak m wtng 4u here
<br />NEMO,this is reality,kama tunataka kupafanya duniani kuwa mahali pa amani na pazuri pa kuishi hayo ndo ya kufanya,turudi kwenye ukweli na uhalisia,wala Mungu hakukosea kupanga hayo majukumu,simlaumu mwanamke kwa kufeli kwetu wanaume bali nazungumzia hali hailisi,huko kuamka unakokusema wewe sijui ni kupi,wataalam wamezungumzia tatizo hili kuwa chanzo chake ni kukosa malezi hasa ya mama,na matatizo yalianza pale mama alipoanza kutoka kuzurula nje,nani alikuambia kuwa kazia maofisini ni bora?Ondoa uongo huu kichwani!
<br />yaan acha tu kaka yangu <br />
<br />
uyu mwandishi wa mada sjui kachapwa na mamayake leo manake dah...tuhuma moja kwa moja as if ajui kwa nini...sjui anaisha dunia gan..<br />
<br />
he is so narrow.... I TOLD HIM..KI UHALISISA YES ILIBID IWE IVO ATA KWENYE MAANDIKO imeonyeshwa ivo MWANAMKE KI HOME HOME ANALEA WATOTO N ol domestics MWANAUME NDO AINGIE VCHAKAN KUTAFUTA NA KULETA MKATE HOME ...lakin kwa maisha aya ya sasa hali iyo aipo...na si km wanawake wamependa kwenda mzigon ni hali imekuwwa ivyo..<br />
na katika malez uwez kumtusi mwanamke peke yake ata wanaume wengne wanakuwa role moddel wabaya sana kwa watoto ....<br />
<br />
<br />
<br />
yes kutokuwepo kwa malez ya mama 24/7 home yanachangia watoto kutokwenda kwenye mstari mwema bt STILL ISN SUFFICIENT REASON KUWANYOSHEA VDOLE WANAWAKE ET NDO CHANZO....<br />
<br />
WE MWANDISH ebu waza kwa mapana...usiwaze kwa chuk tu juu yua wanawake...angalia kwwa mapana nini kinasababisha...<br />
<br />
wangap wamesomeshwa na mama zao tu..wakat mding upo anakunywa tu pombe?<br />
apo utasemaje sasaa?<br />
mama asingeenda kuuza ndizi ili apate sent za kukulipia ada?<br />
<br />
<br />
mama asingeangaika kutafuta pesa za dawa ukiumwa?<br />
<br />
we mwandish naomba umri pls nisije nkawa natoa sh 10 kumbe kiwango chako ni sumni moja...
<br /><br /><br />
<br /><br />
Yap!Unajua mtu anapokuja akakushauri jambo la kijinga ukalikuali wote mnakuwa matatizoni ila kwa nafasi tofauti!
<br />Eiyer kuna ukweli fulani kwenye yale uliyosema ...lakini embu msome Rose1980 halafu uangalie na hali halisi ya maisha kama yale uliyosema yanaweza kufuatwa kwa asilimia zote.
Kila kukicha kumekuwa kukitotea mambo mengi sana mema na mabaya katika maisha ya mwanadam,lakini wataalam wa saikolojia wamekuwa wakisema kila siku kuwa binadam huwa kama alivyo kutokama na malezi yake,na tatizo kubwa la matukio yanayotokea leo,ikiwemo kwenye mahusiano ni malezi yaleyale,asilimia yetu kubwa hatukupata malezi ya baba na mama kutokana na wazazi wetu kukosa muda wa kuwa nasi,kazi zao ndo zimekuwa shida!Mama ndie alikuwa na jukumu hili,lakini leo ameicha kazi hii ya thamani ya kumjenga mwanadamu nae anaenda kwenye mapilika ya mwanaume akidhani ndiyo maisha bora,kumbe hakujua kuwa,alipoonekana raisi bora ni mama alimfanya awe bora,as well as meneja yoyote,waziri,mwanamuziki na wagunduzi wa vifaa mbalimbali na n.k,hawa walikuwa ni matokeo ya ubora wa kazi ya mama,thamani yake ilikuwa halisi ndo maana kukawa na kauli kama 'nani kama mama'?Hii ilitokana na shughuli nzuri ya malezi ya mama,ndio maana walisema ukimuelimisha mwanamke umeelimisha jamii nzima,hii ilitokana na nafasi aliyokuwa nayo!Huyu ndie mwanamke mwenye thamani ya ukweli!Leo wanadamu tumekuwa na tabia za ajabu coz tumekosa hayo,tumelelewa na mahause girl ambao wanamatatizo mengi huku mama akienda kufanya kazi asiyomhusu,tena kazi isiyokuwa na thamani yake,Nani alimdanganya mwanamke kuwa uwaziri au urais ni bora kuliko kutengeneza tabia ya huyo waziri ambayo uadilifu wa kazi yake ni sifa tosha kwa mama?Wanawake amkeni mmedanganywa!
<br /><br /><br />
<br /><br />
Hayo majukumu mbona yalikuwepo tangu kale??if you are a christian, soma provebs chapter 30 and 31 uone wanavomsifia mwanamke anaye jishughulisha na uzalishaji mali kutunza mume na kulea watoto!siku hizi 'kufuma sufi na kulima mbogamboga ' ndo kusoma,kupata degree,kuingia ofisini na kusaidia hela ya mboga nyumbani!!halafu-mbona eva alikuwa 'full time mother' na mwanaye bado akawa muuwaji-am talking of cain..lets not be so backward without analysing issues!
<br />Mkuu Eiyer umeeleweka,salute!wakati ww unaongelea chanzo cha tatzo wadada wanaongelea matokeo ya tatzo,hapa hamuwezi kuelewana...labda tu kumaliza mzizi wa fitina hebu waulize akina dada/mama ni nn nafasi ya mama katika malezi ya mtoto/familia alafu tuwaulize akina kaka/baba nao swali hilohilo alafu tuangalie mapungufu ya pande hizi kisaikolojia na kimakuzi<br />
<br />
<br />
Ntarudi baadae.