Huyu ndiye mwanamke na thamani yake!!..

Huyu ndiye mwanamke na thamani yake!!..

Bombu,kama tungepata malezi bora tusingekua na haya leo,maneno kama golikipa ni maneno ya kijinga ya watu wachache,na waliokosa malezi pia!Umuhimu wa mwanamke katika malezi bora ya mtoto haukwepeki!
 
Eiyer mtazamo wako uko very interesting....<br />
<br />
na nimependa saana the way King'asti kaelezea....
<br />
<br />
Hebu fafanua hapo kidogo!Sijakuelewa!
 
Mr Rocky nilichotaka kusema ni kujaribu kufungua akili zetu kuhusu shida iliyopo duniani sasa,huyo mwanaume unaemsema kumbuka malezi ndo yamemfanya awe hivyo na mlezi mkuu wa familia ni mwanamke ambae hataki tena jukumu lake kutokana na kuamini kwake kuwa anaonewa!
 
&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
Matumizi hapati au anapata kwa nadra sana. Pesa yenyewe haioni inaishia nyumba ndogo, kwa hiyo watakula mawe? Mama kasafiri baba anahamia nyumba ndogo achilia mbali kuleta vimada ndani huku watoto wakishudia. Leo hii bado mama anazidi kulaumiwa tu!
<br />
<br />
Yote haya ni zao la ukosefu wa malezi ambayo ni jukumu la mwanamke!
 
Kila kukicha kumekuwa kukitotea mambo mengi sana mema na mabaya katika maisha ya mwanadam,lakini wataalam wa saikolojia wamekuwa wakisema kila siku kuwa binadam huwa kama alivyo kutokama na malezi yake,na tatizo kubwa la matukio yanayotokea leo,ikiwemo kwenye mahusiano ni malezi yaleyale,asilimia yetu kubwa hatukupata malezi ya baba na mama kutokana na wazazi wetu kukosa muda wa kuwa nasi,kazi zao ndo zimekuwa shida!Mama ndie alikuwa na jukumu hili,lakini leo ameicha kazi hii ya thamani ya kumjenga mwanadamu nae anaenda kwenye mapilika ya mwanaume akidhani ndiyo maisha bora,kumbe hakujua kuwa,alipoonekana raisi bora ni mama alimfanya awe bora,as well as meneja yoyote,waziri,mwanamuziki na wagunduzi wa vifaa mbalimbali na n.k,hawa walikuwa ni matokeo ya ubora wa kazi ya mama,thamani yake ilikuwa halisi ndo maana kukawa na kauli kama 'nani kama mama'?Hii ilitokana na shughuli nzuri ya malezi ya mama,ndio maana walisema ukimuelimisha mwanamke umeelimisha jamii nzima,hii ilitokana na nafasi aliyokuwa nayo!Huyu ndie mwanamke mwenye thamani ya ukweli!Leo wanadamu tumekuwa na tabia za ajabu coz tumekosa hayo,tumelelewa na mahause girl ambao wanamatatizo mengi huku mama akienda kufanya kazi asiyomhusu,tena kazi isiyokuwa na thamani yake,Nani alimdanganya mwanamke kuwa uwaziri au urais ni bora kuliko kutengeneza tabia ya huyo waziri ambayo uadilifu wa kazi yake ni sifa tosha kwa mama?Wanawake amkeni mmedanganywa!



umeongea kweli tupuuuuuuuuuuu..lakin kaka maisha aya si yale...wataka tukae home tu na jukumu kubwa ni kulea watoto ili kuwaunda katika maadili na maarifa mema ili waje kuwa viongozi/watu wema apo badaye lakin je KATIKA UAHALISIA MAISHA AYO YAPO?


1.ukae tu home mume alete kila siku?....kula ,ada....na matumizi mengne....ataweza peke yake?


2.mara ngap umeskia kes ahhh mis tak kuoa golikipa?unadhani wanamaanisha nin?

3.MARA NGAP umeskia mwanamke analalamika kusimangwa na mmewe kisa hana kaz/anamtegemea yeye tu?

4.MARA NGAP WANAUMAE WAMETELEKEZA FAMILIA..??.....NO ADA KWA WATOTO,NO CHAKULA..NO WAT NO WAT....then apo mama bado tu akubali kujikalisha ata km ana channel za kujipatia sh 10 yake?

WANAUME WENG WANABADIRIKA ...leo anakupa kesho akimpata mwajuma chup 7 basi sahau aupat tena na km alikuwa nakupa elfu 10 kwa siku bas utapewa mia 5....sasa inatosha nini?au usiipate kabisaaaaa...



note;USIWALAUMU WANAWAKE KWA KUJIIINGIZA KWENYE IZO ULIZOZIITA KAZ ZA WANAUME...MUDA /HALI IMEFANYA WANAWAKE WAINGIE MZIGONI KUTAFUTA NOTE NA WALA SI KWA MAPENZ YAO BALI HALI YENYEWE IMEAWAFORCE.


NAWASILISHA.
 
&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
Eiyer, we ni mwanamke? Basi sisi wanawake hatujasababisha matatizo ila uzembe na ujeuri wa kina baba ndo unachangia yote haya.
<br />
<br />
No niliposema sisi nilikuwa simaanishi kuwa mimi ni mwanamke ila nilimaanisha sisi wanadam!Duh!
 
<br />
<br />
Yote haya ni zao la ukosefu wa malezi ambayo ni jukumu la mwanamke!

duu wanaume wanapenda kusingizia/kulaumu wanawake...yaani ata mkifumaniwa leo ...utamwambiua mkeo i ni kaz ya malez ya mwanamke mwenzio....au ili ni kosa lako/umeasababisha wewe.....kukubali kosa inakuwa shda sana kwa wanaume weng....



yaan mkeo kasafiri wewe umehamia kwa nyumba ndogo then useme i ni kazi ya malez ya mwanamke..dahhhh akyanani nataman nikugeche!:fish:
 
Dada Rose,kwanza nakushukuru kwa kukubali,pia nakubaliana na wewe kuwa uhalisia wa maisha hayo haupo!So kama haupo now days tufanye nini?Tukae tu?Hey!We need to do something!Kwani kuna ubaya tukianzia hapa?Tena ndo kwenye mzizi wa tatizo,mwanamke ndo ameshikilia mtazamo na afya ya mwanadamu kwani jambo hili huanzia tumboni,mama mjamzito hushare hisia,feelings,chakula n.k,hebu fikiria fujo,msongo wa mawazo,maudhi n.k yaliyopo ofisini halafu uniambie huyo mtoto aje kuwa salama?Not at all!
 
&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
No niliposema sisi nilikuwa simaanishi kuwa mimi ni mwanamke ila nilimaanisha sisi wanadam!Duh!
<br />
<br />
Asante kwakuwa umekubali kuwa tatizo ni la wote na si mwanamke peke yake, so natuzibebe hizo lawama sisi sote!
 
duu wanaume wanapenda kusingizia/kulaumu wanawake...yaani ata mkifumaniwa leo ...utamwambiua mkeo i ni kaz ya malez ya mwanamke mwenzio....au ili ni kosa lako/umeasababisha wewe.....kukubali kosa inakuwa shda sana kwa wanaume weng....<br />
<br />
<br />
<br />
yaan mkeo kasafiri wewe umehamia kwa nyumba ndogo then useme i ni kazi ya malez ya mwanamke..dahhhh akyanani nataman nikugeche!<img src="/images/styles/JamiiForums/smilies/fish.gif" border="0" alt="" title="Fish" smilieid="182" class="inlineimg" />
<br />
<br />
Nafikiri dada yangu hujui ni wakati gani tabia na mitazamo ya mtu hujengwa,kama ulikua hujui ni wakati wa malezi,hata wewe mitazamo yote uliyonayo leo ni kutokana na namna ulivyolelewa!Hakuna kuku anaetaga yai viza ila uatamiaji wa huyo kuku ndo utakaosababisha uviza wa yai!
 
nemo,thanks.
eiyer,if there is one thing a woman can do perfectly is multi-tasking! kuwa na nafasi ya kisiasa, ama kazi ofisini haizuii mwanamke kutimiza majukumu yake kama mama, mke na mwanamke katika jamii yake. hebu turudi kwanza kwenye mzizi: je wako wapi wanaume providers, wenye kutunza familia zao? kila kukicha wanaume wanalalamikiwa kuwa 'marioo',anataka lifti apige na honi! kila ukicha, wanaume wanahamia nyumba ndogo na kuzitukuza kwa bidii. na kama mwanaume akifariki bahati mbaya,mjane atanyanyaswa japo wakati mwingine kipato chake kilikuwa kikubwa kuliko cha mume watamnyng'anya hadi masufuria!! sipati picha kwa 'golikipa' manake nadhani hadi nguo za ndani watachukua!gggrrrhhh!
my take is: the blame game will not take us anywhere.
1 lakini hali ilivyo inalazimisha mwanamke kutoka ndani na kutanua wigo wa kipato. maisha yamekuwa magumu sana,kipato cha mwanaume pekee hakitoshi kwa mahitaji ya familia (read 'extended familia ya kiafrika,lol).
2 malezi ya watoto ni kusaidiana baina ya baba na mama. wamama tujitahidi, na wababa msinawe mikono.
3 malezi ya watoto ni kumuomba Mungu tu na kufanya sehemu yako kama bin adam! kuna familia inalelewa vizuri sana, mwisho wa siku unakuta mtoto mmoja katokea tofauti kabisa. sidhani kama anakuwa kakosa malezi bora...

Duu hii kimtindo inanigusa, mimi na mke wangu wote ni wafanya kazi za kuajiriwa, Makazi yetu ni Tegeta tunafanya kazi Posta, tunatoka nyumbani kila siku saa 11 nanusu alfajiri na tunafika nyumbani saa mbili na nusu usiku na kuendelea kutegemeana na Foleni ya siku hiyo. Kinachotokea wakati wa mapumziko au weekends ni kwamba mwanetu wa miezi tisa nikiwa nime mbeba akimuona dada yake(House girl) anapita humlilia maana yeye ndo kamzoea kuliko mimi, hilo hujitokeza pia anapo maliza tuu kunyonya anamlilia dada yake maana sisi hajatuzoea. Huwa nafikiria mmoja kati yetu aache kazi akae kulea mtoto lakini nikifikiria thamani ya Shilingi kwa sasa nanywea
 
Nilitegemea mwanzisha mada angegombaniwa kama mpira wa kona lakini wapi.
 
&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
Asante kwakuwa umekubali kuwa tatizo ni la wote na si mwanamke peke yake, so natuzibebe hizo lawama sisi sote!
<br />
<br />
Yap!Unajua mtu anapokuja akakushauri jambo la kijinga ukalikuali wote mnakuwa matatizoni ila kwa nafasi tofauti!
 
NEMO,this is reality,kama tunataka kupafanya duniani kuwa mahali pa amani na pazuri pa kuishi hayo ndo ya kufanya,turudi kwenye ukweli na uhalisia,wala Mungu hakukosea kupanga hayo majukumu,simlaumu mwanamke kwa kufeli kwetu wanaume bali nazungumzia hali hailisi,huko kuamka unakokusema wewe sijui ni kupi,wataalam wamezungumzia tatizo hili kuwa chanzo chake ni kukosa malezi hasa ya mama,na matatizo yalianza pale mama alipoanza kutoka kuzurula nje,nani alikuambia kuwa kazia maofisini ni bora?Ondoa uongo huu kichwani!
&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
<br />
Naunga mkono hoja! Mtoto bila malez kamili ya mama ni hatari.
 
Duu hii kimtindo inanigusa, mimi na mke wangu wote ni wafanya kazi za kuajiriwa, Makazi yetu ni Tegeta tunafanya kazi Posta, tunatoka nyumbani kila siku saa 11 nanusu alfajiri na tunafika nyumbani saa mbili na nusu usiku na kuendelea kutegemeana na Foleni ya siku hiyo. Kinachotokea wakati wa mapumziko au weekends ni kwamba mwanetu wa miezi tisa nikiwa nime mbeba akimuona dada yake(House girl) anapita humlilia maana yeye ndo kamzoea kuliko mimi, hilo hujitokeza pia anapo maliza tuu kunyonya anamlilia dada yake maana sisi hajatuzoea. Huwa nafikiria mmoja kati yetu aache kazi akae kulea mtoto lakini nikifikiria thamani ya Shilingi kwa sasa nanywea
<br />
<br />
Mnahitaji ukweli gani ulio wazi tofauti na huu?
 
duu wanaume wanapenda kusingizia/kulaumu wanawake...yaani ata mkifumaniwa leo ...utamwambiua mkeo i ni kaz ya malez ya mwanamke mwenzio....au ili ni kosa lako/umeasababisha wewe.....kukubali kosa inakuwa shda sana kwa wanaume weng....<br />
<br />
<br />
<br />
yaan mkeo kasafiri wewe umehamia kwa nyumba ndogo then useme i ni kazi ya malez ya mwanamke..dahhhh akyanani nataman nikugeche!<img src="/images/styles/JamiiForums/smilies/fish.gif" border="0" alt="" title="Fish" smilieid="182" class="inlineimg" />

teh teh teh teh Rose umewaza mbali sana mamito lol
 
&amp;lt;br /&amp;gt;&lt;br /&gt;<br />
&amp;lt;br /&amp;gt;&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
Naunga mkono hoja! Mtoto bila malez kamili ya mama ni hatari.
<br />
<br />
Tena ni hatari sana!Matatizo yote tuliyonayo ni matokeo ya hii kitu!Kama tunajipenda tubadilike!
 
Umejitafutia makubwa!
<br />
<br />
Usijali,mimi sioni tatizo kusema kile ninachokiamini kuwa ni sawa,inatakiwa wanipruv wrong!Kama niko sawa there is nothing wrong Okada!
 
Back
Top Bottom