lukelo sakafu
JF-Expert Member
- Feb 19, 2015
- 2,938
- 517
- Thread starter
-
- #61
wera weraaaaaaa...
Forever ali kiba.hatuna stress kua akiachana na mwanamke huyu atakua hana jipya maana hategemei wanawake kupata kick...
Good music ndio nguzo hasa ya king kiba.
Umeona eeh? Jamaa yuko race kama yuko kwenye mbio za magari.
Hahahahahaaa Diva Beyonce unanipaga raha sana! Basi tu am proud of being your friend!
Sasa we hujui Ali kiba ana weka ela kwny kibubu c alivamiwa n akaibwa million 4 cjui 2 sasa katika dunia ya Leo nani ana kaa n iyo ela nyumbani kwake
Ama nini? Ni mwendo wa ku vote tuuu, mchiriku chaliiii mwaka huu.Na bado mwakani watapata nominations za kwenye taarab!
Mambo ya touch, mambo ya good music! Tumechoka vigodoro vya tandale.Mimi nilikua sijui vigodoro hadi nikajua! Loooh....
Wamesema kuwa kizuri chajiuza kibaya chajitembeza na akiona mambo magumu anajifanya kutetea wengine kumbe ni selfish na kujitaftia public sympathy tu watasubiri sana debe tupu hupiga kelele.
Hyo hela ndogo sana ya matumizi ya ya nyumbani, mbona we endelea na kibubu chako mana ndo swaga za uswahili hizo kuweka hamsini Mara mia. Yaani from UA comment its seems una psychological problem na Kiba kijino pembe utakufa nacho kijibwa cha roho. Umuache Ali kiba hana time na watu wasio classy na waswahili Swahili.
Hahahahahaaa Diva Beyonce unanipaga raha sana! Basi tu am proud of being your friend!
msanii wenu bado anakomaa na tuzo za kibongo...hehehe... ,,alipotelezea na Platinum akatusulia hatapasahau....
Come to papa jay z tumlee mtoto wetu blue ivy diva beyonce
Diva Beyonce π±π± jay z am here bae come to papa tumlee mtoto wetu blue ivy π
Come to papa jay z tumlee mtoto wetu blue ivy diva beyonce
mkuu sio kweli jamaa toka kitambo yupo simple sana
Kwendraaaa, hizo hoja za mwaka 47 hazina nafasi kwa sasa.Jaribu kuwa updated basi, khaaaa!
Alitaka aonekane nae kachangia tumeona kachangia ila ni nje ya maada
Kiba cmuazie hata kidogo am thinking of davido may be katika kufanya collabo n meek mill n Trey songs basi karoho kangu kana uma hapa
Halafu wewe ni kitoto kidogo sana.Am pretty sure that hufikishi hata miaka 23 kwa hizi post zako.
You are too low, jaribu kujipanga tena halafu uje tena.
Kama mtu unajadili ID si ujinga huo?
cc: Diva Beyonce